Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota wa zamani wamuunga mkono Nkwabi

BAADHI ya wachezaji wa zamani wa timu ya Simba, wameibuka na kusema wanamuunga mkono mgombea wa nafasi ya makamu wa rais katika klabu hiyo, Swedi Nkwabi kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WASANII WAMUUNGA MKONO SAID FELLA

 Mgombea wa nafasi ya udiwani katika kata ya Kilungule Said Fella (kushoto) akiteta jambo  na mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbagala Issa Mangungu, wakati wa uzinduzi wa kampeni za udiwani ambazo zimezinduliwa jana.Msanii Richard  Maviko, (katikati) akiwa na wasanii wenzake  wakitoa salamu maalum ya kumuunga mkono mgombea wa udiwani katika Kata ya Kilungule Said Fella, ambaye  amezindua rasmi kampeni katika kata hiyo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lameck Ditto akiongea kwa...

 

11 years ago

Habarileo

CCM Kigoma wamuunga mkono Zitto Kabwe

Zitto KabweCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kigoma Mjini kimeunga mkono hatua ya Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aliyevuliwa madaraka, Zitto Kabwe kusimamia demokrasia na matumizi sahihi ya fedha katika chama chake.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanawake wamuunga mkono JPM kufanya usafi

Wanawake kutoka vyama vya siasa na wanaharakati waeitikia wito wa Rais John Magufuli kwa kujitokeza kufanya usafi kwenye Soko la Mabibo la jijini hapa.

 

11 years ago

GPL

WANAHARAKATI WAMUUNGA MKONO JK KUPAMBANA NA UJANGILI‏

Mgeni rasmi Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr. George Nangale, akizindua rasmi kampeni ya ‘Save The Elephant’ (Okoa Tembo) kwa niaba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kama jitihada za kumuunga mkono Rais Kikwete katika kupambana na ujangili wa wanyamapori nchini. Kushoto ni Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi, Wa pili kushoto ni Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB),...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mastaa wa Bongo Movies, Kajala na Riyama Wamuunga Mkono Mabeste

“WAUNGWANA wangu wapendwa wangu Naomba kwahisani yako Pitia uzuri hayo maelezo ktk bango hakikisha haikupiti hii kama kweli wewe ni mzalendo pia onesha kuguswa na mtihani ambao unamkabili sasahivi kakayetu ndugu yetu mwenzetu Mabeste halafu sema hata mimi ni binadamu nisie kamilika matatizo mitihani na maradhi nimeumbiwa mimi.
Mimi nilishayabeba Haya kua kwaupende wangu maumivu niliopata hayaelezeki nikapata jibu kua pengine asingekua yeye leo hii ningeweza kua mimi ndio mwenye mtihani huu...

 

9 years ago

StarTV

 Wataalamu wa ujenzi wamuunga mkono Rais Magufuli katika maendeleo ya uchumi

Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi Tanzania amesema Udhibiti wa gharama za ujenzi katika miradi mbalimbali ya Serikali ni jambo la msingi katika kukua kwa maendeleo ya kiuchumi kwa nchi yeyote duniani.

Hayo yameelezwa na Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi Tanzania TIQS Samuel Marwa wakati wa mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika jijini Dar es salaam.

Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi, Samuel Marwa amesema Tanzania   bado inakabiliwa na uchache wa wataalamu hao kwani vyuo vinavyotoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota wa zamani watarajia ushindani mkubwa 2014/15

Ilikuwa miezi, wiki hatimaye zimesalia siku tano kabla ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 kuanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani