WANAHARAKATI WAMUUNGA MKONO JK KUPAMBANA NA UJANGILI

Mgeni rasmi Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr. George Nangale, akizindua rasmi kampeni ya ‘Save The Elephant’ (Okoa Tembo) kwa niaba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kama jitihada za kumuunga mkono Rais Kikwete katika kupambana na ujangili wa wanyamapori nchini. Kushoto ni Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi, Wa pili kushoto ni Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB),...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
11 years ago
Michuzi
wanaharakati katika mkutano maalumu wa kupambana na ujangili duniani jijini london leo

10 years ago
MichuziWASANII WAMUUNGA MKONO SAID FELLA
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Nyota wa zamani wamuunga mkono Nkwabi
BAADHI ya wachezaji wa zamani wa timu ya Simba, wameibuka na kusema wanamuunga mkono mgombea wa nafasi ya makamu wa rais katika klabu hiyo, Swedi Nkwabi kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika...
11 years ago
Habarileo31 Dec
CCM Kigoma wamuunga mkono Zitto Kabwe
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kigoma Mjini kimeunga mkono hatua ya Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aliyevuliwa madaraka, Zitto Kabwe kusimamia demokrasia na matumizi sahihi ya fedha katika chama chake.
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Wanawake wamuunga mkono JPM kufanya usafi
10 years ago
Bongo Movies07 May
Mastaa wa Bongo Movies, Kajala na Riyama Wamuunga Mkono Mabeste
“WAUNGWANA wangu wapendwa wangu Naomba kwahisani yako Pitia uzuri hayo maelezo ktk bango hakikisha haikupiti hii kama kweli wewe ni mzalendo pia onesha kuguswa na mtihani ambao unamkabili sasahivi kakayetu ndugu yetu mwenzetu Mabeste halafu sema hata mimi ni binadamu nisie kamilika matatizo mitihani na maradhi nimeumbiwa mimi.
Mimi nilishayabeba Haya kua kwaupende wangu maumivu niliopata hayaelezeki nikapata jibu kua pengine asingekua yeye leo hii ningeweza kua mimi ndio mwenye mtihani huu...