NI VIDOGO SANA LAKINI VINAWEZA KULINOGESHA PENZI LENU
![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiHy*FejEQOHiALg1hLn9e6csUZDOlh0EyTwU8EjQitxtQ8U9FN4fJpSfUxw1oCWSZjUwx1OFR*gkZgCo*NFctfS/blackmaneatingfruit.jpg?width=650)
Mpenzi msomaji wangu, leo nikupe siri kubwa ambayo huifahamu na huenda unatafuta dawa ya kulienzi penzi lako au kulinogesha ili mpenzi wako adumu na wewe.Nikueleze ukweli tu kwamba, hakuna dawa ya mapenzi katika ulimwengu huu, dawa ni wewe mwenyewe hasa ukiamua kufuata misingi ya mapenzi. Inawezekana unajua ila unadharau au hujui kabisa sasa leo nitakuambia dawa yenyewe ni nini.Hivi hujawahi kuona kitu ukikiangalia wewe...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbinu za kufufua penzi lenu
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!
Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini kwetu kufuatia kuwepo uchaguzi mkuu uliomuwezesha Dk. John Pombe Magufuli ‘Mzee wa kutumbua majipu’ kuingia Ikulu ya Magogoni ndo unaishia.
Ni wazi kwamba unatafakari na kufanya tathmini ya mafanikio uliyoyapata katika mwaka huu au namna ambavyo hujafanya kitu chochote cha maendeleo huku ukishuhudia majirani zako wakijenga nyumba, kununua magari, kusomesha...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….
Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.
“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.
Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B-pyvF1FWrs/VA7NQRaSoQI/AAAAAAAGiNU/97u3lEbyqVw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WAZIRI NAGU ATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA MITAMBO YA VIWANDA VIDOGO VIDOGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-B-pyvF1FWrs/VA7NQRaSoQI/AAAAAAAGiNU/97u3lEbyqVw/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EjFvi89hhRwJtALsmTadBkq*FqVD*sJ7*g7v1gHqbErTmT*fFFShiSW-55aeNuYXE2khhTzBqYlUxV-LN*xO2Z-/mahaba.jpg?width=650)
UKILAZIMISHA SANA PENZI JIANDAE KUTESEKA!
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Amuua mama mzazi na kukata mwili vipande vidogo vidogo
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Erasto Lwiza (27) amemuua mama yake mzazi, Magreth Lwiza (50), kwa kumkatakata mapanga mwili wake na kuugawa vipande vidogo vidogo.
Tukio hilo limetokea juzi Mtaa wa Butiama, eneo la Vingunguti, ambapo mtuhumiwa ambaye ni marehemu kwa sasa alitekeleza unyama huo kabla hajauawa.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kabla marehemu Erasto hajamuua mama yake alianza kumshambulia kwa visu na mapanga mwanamke aliyetambuliwa kwa...
9 years ago
MichuziSERIKALI YAHIMIZA UJENZI WA VIWANDA VIDOGO VIDOGO NCHINI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Seleman Jaffo alitoa kauli hiyo tarehe 22 Decemba, 2015 wakati alipotembelea taasisi zilizo chini ya Wizara yake ambazo LAPF, na Bodi ya Mikopo ya...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Mkuu wa Mkoa wa Arusha awataka wajasiriamali wa viwanda vidogo vidogo kutengeneze bidhaa zenye ubora
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXvtgMf7OBPKg1f4tqwShstSnU0MIxpV0W5gVFjmxWrxd9N*bEuK7uqLBTLyNuMe3dkjWo65Tk0jKrUlSZ6-UYQ/MAMAWEMA.jpg)
PENZI KWA FLORA, NAMSHANGAA SANA MBASHA!