Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKILAZIMISHA SANA PENZI JIANDAE KUTESEKA!

NiJumamosi nyingine tunakutana katika uwanja wetu wa  Love Story. Kama kawaida waungwana tunakutana hapa kupeana mawili matatu yahusuyo maisha ya uhusiano. Baada ya kupata darasa la kumpa moyo wako wote halafu ukaambulia maumivu tulilojadili wiki iliyopita, wiki hii tunakuja na mada nyingine nzuri kama inavyojieleza hapo juu. Kwenye ulimwengu huu wa wapendanao, licha ya kuwepo kwa wale ‘wanaoinjoi’ mapenzi lakini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOHARI AZIDI KUTESEKA PENZI LA RAY!

Na Rhoda Josiah
MKONGWE katika tasnia ya filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameonekana kuendelea kuteseka na penzi la mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kunaswa akimzungumzia. Mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Tukio hilo lilijiri juzikati katika Viwanja vya Leaders Club kwenye uzinduzi wa filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni ambapo Johari alikuwa...

 

9 years ago

GPL

PENZI KWA FLORA, NAMSHANGAA SANA MBASHA!

MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Emmanuel Mbasha ameshinda kesi yake ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili, aliyotuhumiwa kumfanyia kitendo hicho msichana aliyekuwa akiwasaidia kazi za ndani ya nyumba yake na aliyekuwa mkewe, Flora Mbasha. Emmanuel Mbasha alidaiwa kufanya kitendo hicho mara mbili kwa msichana huyo, kitu ambacho ni kinyume cha sheria za nchi. Hata hivyo, baada ya takriban mwaka mmoja na ushee, wa kusikiliza pande...

 

9 years ago

GPL

NI VIDOGO SANA LAKINI VINAWEZA KULINOGESHA PENZI LENU


Mpenzi msomaji wangu, leo nikupe siri kubwa ambayo huifahamu na huenda unatafuta dawa ya kulienzi penzi lako au kulinogesha ili mpenzi wako adumu na wewe.Nikueleze ukweli tu kwamba, hakuna dawa ya mapenzi katika ulimwengu huu, dawa ni wewe mwenyewe hasa ukiamua kufuata misingi ya mapenzi. Inawezekana unajua ila unadharau au hujui kabisa sasa leo nitakuambia dawa yenyewe ni nini.Hivi hujawahi kuona kitu ukikiangalia wewe...

 

10 years ago

Mwananchi

Kagera Sugar kuteseka Bara

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 itaanza keshokutwa huku ratiba ya ligi hiyo ikizipa nafasi za kusafiri umbali mfupi zaidi timu za Ruvu Shooting, Azam na Yanga wakati Kagera Sugar, Mbeya City, Polisi Morogoro na Stand United ndizo zitakazosafiri umbali mrefu zaidi.

 

5 years ago

CCM Blog

*UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASKINI*...

..._"Umasikini hauji kwa bahati mbaya kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)__"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).__"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)__"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ukiwa na haraka Mbweni JKT jiandae kupiga mbizi

Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam

UPIGE mbizi. Ndivyo unavyoweza kusema msemo huu kama unahitaji kupita haraka haraka katika eneo la Mbweni JKT, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam, mahala panapojengwa daraja la kuvukia watu kwa miaka mitatu sasa, halina dalili za kukamilika hivi karibuni.

Ni eneo tata. Ni eneo linalokera na kusumbua watu mno. Mbaya zaidi, ni eneo lililozunguukwa na majumba ya watu wenye ukwasi au ukubwa wa majina ya viongozi waliojenga katika eneo hilo. Eneo linalojengwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….

Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.

“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.

Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani