Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


*UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASKINI*...

..._"Umasikini hauji kwa bahati mbaya kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)__"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).__"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)__"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Ukiwa na haraka Mbweni JKT jiandae kupiga mbizi

Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam

UPIGE mbizi. Ndivyo unavyoweza kusema msemo huu kama unahitaji kupita haraka haraka katika eneo la Mbweni JKT, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam, mahala panapojengwa daraja la kuvukia watu kwa miaka mitatu sasa, halina dalili za kukamilika hivi karibuni.

Ni eneo tata. Ni eneo linalokera na kusumbua watu mno. Mbaya zaidi, ni eneo lililozunguukwa na majumba ya watu wenye ukwasi au ukubwa wa majina ya viongozi waliojenga katika eneo hilo. Eneo linalojengwa...

 

10 years ago

GPL

HIZI NDIZO TABIA ZA FREEMASONS

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale ambapo Sir Chande, kiongozi mstaafu wa taasisi hiyo Afrika Mashariki alipokuwa akishukuru kupewa heshima na vyombo vya kitaifa na kimataifa.
Baadhi ya vitabu vinaonesha kwamba hakuna anayejua wanachokifanya wanachama wa Freemasonry lakini inaaminika kuwa viongozi wakuu wa Tanzania wanajua kila kitu.
SASA ENDELEA… Katika zama tulizo nazo swali la nani ni Freemason...

 

10 years ago

Mwananchi

Acha tabia hizi unapotumia vifaa vya mawasiliano

Kuna wakati baadhi yetu tunapenda kufanya vitu kwa mazoea, japo vinaweza kuwa na madhara makubwa katika maisha yetu. Nitavitaja baadhi.

 

9 years ago

MillardAyo

Unaambiwa hizi ni tabia 8 za watu wapole… hebu tazama ujaribu kulinganisha

Tunaishi kwenye dunia ambayo binadamu wanatofautiana kifikra, kitabia na kwenye vitu vingine… sasa leo December 15 mtaalamu wa saikolojia kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam  Chris Mauki ametoa hizi tabia nane za watu wa pole, zitazame uone kama zinakugusa au kumgusa yeyote unaemfahamu. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji Ni rahisi kuwaamini Wako […]

The post Unaambiwa hizi ni tabia 8 za watu wapole… hebu tazama ujaribu kulinganisha appeared first on...

 

10 years ago

GPL

UKILAZIMISHA SANA PENZI JIANDAE KUTESEKA!

NiJumamosi nyingine tunakutana katika uwanja wetu wa  Love Story. Kama kawaida waungwana tunakutana hapa kupeana mawili matatu yahusuyo maisha ya uhusiano. Baada ya kupata darasa la kumpa moyo wako wote halafu ukaambulia maumivu tulilojadili wiki iliyopita, wiki hii tunakuja na mada nyingine nzuri kama inavyojieleza hapo juu. Kwenye ulimwengu huu wa wapendanao, licha ya kuwepo kwa wale ‘wanaoinjoi’ mapenzi lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani