Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Acha tabia hizi unapotumia vifaa vya mawasiliano

Kuna wakati baadhi yetu tunapenda kufanya vitu kwa mazoea, japo vinaweza kuwa na madhara makubwa katika maisha yetu. Nitavitaja baadhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Viongozi wa Dini Arusha wapata elimu ya kujinga na uhalifu unapotumia huduma za Mawasiliano

 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akizungumza wakati akifungua semina ya Kamati ya Amani ya Mkoa wa Arusha ikiwa ni Kampeni ya TCRA  Sirubuniki Mjanja Haingizwi Chaka. Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Mhandisi Emelda Salum akizungumza wakati wa semina ya Kamati ya Amani Mkoa wa Arusha ikiwa ni Kampeni ya TCRA , Sirubuniki Mjanja Haingizwi Chaka. Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mhandisi Emelda Salum akitoa maelezo ya Kampeni...

 

10 years ago

GPL

HONGERA‭ ‬WEMA‭, ‬DIAMOND ACHA TABIA ZA‭ ‬KISWAZI

KWENU mastaa wawili wenye ‘taito’ ya juu ndani ya Bongo, Wema Isaack Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond’, mambo vipi? Mko poa? Binafsi mimi ni mzima wa afya, namshukuru Mungu, naendelea na majukumu yangu kama kawaida. Jukumu nililonalo kupitia ukurasa huu ni kuwakumbuka kupitia barua hii. Nikianza na Madam, kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyofikia kisiasa. Umepata kura 90 na...

 

10 years ago

GPL

HIZI NDIZO TABIA ZA FREEMASONS

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale ambapo Sir Chande, kiongozi mstaafu wa taasisi hiyo Afrika Mashariki alipokuwa akishukuru kupewa heshima na vyombo vya kitaifa na kimataifa.
Baadhi ya vitabu vinaonesha kwamba hakuna anayejua wanachokifanya wanachama wa Freemasonry lakini inaaminika kuwa viongozi wakuu wa Tanzania wanajua kila kitu.
SASA ENDELEA… Katika zama tulizo nazo swali la nani ni Freemason...

 

5 years ago

CCM Blog

*UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASKINI*...

..._"Umasikini hauji kwa bahati mbaya kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)__"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).__"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)__"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest...

 

9 years ago

MillardAyo

Unaambiwa hizi ni tabia 8 za watu wapole… hebu tazama ujaribu kulinganisha

Tunaishi kwenye dunia ambayo binadamu wanatofautiana kifikra, kitabia na kwenye vitu vingine… sasa leo December 15 mtaalamu wa saikolojia kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam  Chris Mauki ametoa hizi tabia nane za watu wa pole, zitazame uone kama zinakugusa au kumgusa yeyote unaemfahamu. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji Ni rahisi kuwaamini Wako […]

The post Unaambiwa hizi ni tabia 8 za watu wapole… hebu tazama ujaribu kulinganisha appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani