Mwaka 2014 uwe wa waandishi kujirekebisha
Mwaka huu wa 2014, uwe ni mwaka wa kujirekebisha katika uandishi kwani yako matukio mengi ya kihistoria yatakayotokea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Mwaka 2014 uwe wa matumaini
RAIS wangu, mwaka 2013 tulisema ulikuwa ni majanga. Mwaka wa 2014 uwe kwetu mwaka wa matumaini. Ah! Mwaka 2013 ulijaa malalamiko ule! Madaktari walilalamika, walimu, wafanyakazi, wakulima na wafugaji wote...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Mwaka 2014 uwe wa mafanikio ya michezo
WAKATI mwaka 2013 ukielekea ukingoni, wadau wa michezo wana mengi ya kukumbuka; yawe ya huzuni au furaha kwa ajili ya kujitathmini na kujipanga upya kabla ya kuingia mwaka mpya wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Tunaweza kuufanya mwaka 2014 uwe wa heri
HII ni makala yangu ya kwanza ya Wazo Jepesi kwa mwaka huu. Sikuweza kuandika makala kwa Jumapili zilizotangulia kwa sababu zilizokuwa juu ya uwezo wangu. Kwangu basi hii ni makala...
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!
Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini kwetu kufuatia kuwepo uchaguzi mkuu uliomuwezesha Dk. John Pombe Magufuli ‘Mzee wa kutumbua majipu’ kuingia Ikulu ya Magogoni ndo unaishia.
Ni wazi kwamba unatafakari na kufanya tathmini ya mafanikio uliyoyapata katika mwaka huu au namna ambavyo hujafanya kitu chochote cha maendeleo huku ukishuhudia majirani zako wakijenga nyumba, kununua magari, kusomesha...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
MAONI YA MHARIRI: Mwaka 2016 uwe wa kujenga uchumi
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Jipange mwaka 2015 uwe wa mafanikio katika elimu
9 years ago
Bongo504 Jan
Wasanii mwaka 2016 uwe wa kazi na si lawama – Fella
Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe pamoja TMK Wanaume Family, Said ‘Mkubwa’ Fella, amewataka wasanii kuutumia mwaka 2016 vizuri kwa kutoa kazi nzuri na kuacha malalamiko yasiyo na tija.
Fella ambaye ametambulisha kundi jipya la muziki liitwalo Salam TMK, alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV kuwa mwaka 2016 utakuwa mwaka mwema kama wasanii watautumia vizuri.
“Ninaweza nikawaambia wasanii wajibrand vizuri, lawama ndogo ndogo hazihitajiki tena mwaka 2016,” alisema.
“Kama kuna lawama...
10 years ago
VijimamboMWAKA 2030 UWE MWISHO WA TOFAUTI YA USAWA WA KIJINSIA-UN
Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...