Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA: MADOIDO MUHIMU KWENYE ENEO LENU LA KUJIDAI!

Shoga yangu, leo nitazu-ngumza nawe mada iliyobebwa na kichwa hicho hapo juu.Bila shaka unaelewa ili kila kitu kiende sawa lazima kiwe na madoido yake, mfano ukitaka usifiwe kwa mapishi matamu lazima uweke viungo mbalimbali kwenye mapishi yako. Ukitaka nyumba yako ipendeze lazima uipambe kwa mapambo mbalimbali, hata ukitaka kuonekana smati lazima ujue namna ya kupangilia mavazi yako. Tukitoka kwenye mambo hayo, tukirejea kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!

Lovely couple hugging on their bed at home

Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini kwetu kufuatia kuwepo uchaguzi mkuu uliomuwezesha Dk. John Pombe Magufuli ‘Mzee wa kutumbua majipu’ kuingia Ikulu ya Magogoni ndo unaishia.

Ni wazi kwamba unatafakari na kufanya tathmini ya mafanikio uliyoyapata katika mwaka huu au namna ambavyo hujafanya kitu chochote cha maendeleo huku ukishuhudia majirani zako wakijenga nyumba, kununua magari, kusomesha...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yatajwa kuwa eneo muhimu kuzalisha methano

Ujumbe wa Tanzania uliopo nchini Canada kwa ziara ya mafunzo ukiongozwa na Naibu Waziri Nishati na Madini, Charles Kitwanga (aliyenyoosha mkono), ukiwa katika chumba cha kusimamia mitambo ya kuzalisha methano (haionekani pichani) katika kiwanda cha kuzalisha malighafi hiyo kilicho katika jimbo la Alberta nchini Canada. Ujumbe wa Tanzania uliopo nchini Canada ukiongozwa na Naibu Waziri Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa nne kutoka kushoto, waliosimama), ukiwa katika picha ya pamoja na...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, ONA AIBU KUMLISHA MWENZIO KWENYE CHOMBO KICHAFU

Haya tena kama ilivyo ada yetu tumekutana kwenye kona yangu, ukifika wakati huu mzungumzaji mkubwa nakuwa peke yangu, wengine wote mnabaki kimya kunisikiliza. Najua mmekaa mkao wa kula, leo nakuona mpanaa kama gauni la Jamatini. Ndiyo mimi kiroho kukudunda kila ifikapo Jumatano, wasiwasi wako leo utasemwa wewe. Sipo kwa ajili ya kukurusha roho mwa kwetu bali kukurudisha katika mstari usionekane kioja mbele za watu. Lakini...

 

10 years ago

GPL

MAKUBWA! AKODI KIBAO KATA KWENYE KUMSUTA SHOGA'KE

HAMIDA HASSAN
Wanawake wa mjini wanasema makubwa, madogo yana nafuu! Msemo huo unakwenda sambamba na tukio la hivi karibuni la mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Rukia Mabeseni mkazi wa Kigogo jijini Dar kukodi ngoma ya kibao kata kwa lengo la kwenda kumsuta shoga yake aitwaye mama Mariam. Rukia Mabeseni akimsuta shoga yake pamoja na wenzie. Ilikuwaje? Msikie Rukia Mabeseni
“Shost wangu, huyu mama Mariam huyu...

 

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

10 years ago

Bongo5

Eminem ameigiza kwenye filamu ya ‘The Interview’ ambamo alijitangaza kuwa ni shoga (Video)

Eminem ameigiza pia kwenye filamu ya The Interview ambayo imekuwa chanzo cha kukua kwa mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini. Kuonekana kwa Eminem kwenye filamu hiyo kunaweza kuwa kunachekesha zaidi kwa wengi pale ambapo rapper huyo anayefahamika kwa mashairi yake ya kuwaponda mashoga akimshangaza mtangazaji (nafasi iliyoigizwa na James Franco) aliposema kuwa naye ni […]

 

10 years ago

Mwananchi

Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba

Viongozi na wasanii kutoka baadhi ya vyama na mashirikisho ya sanaa nchini hivi karibuni walitembelea Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma kuwasilisha kilio chao cha kutaka wasanii kutambuliwa kama kundi kubwa maalumu pamoja na milikibunifu.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hoja muhimu kwenye rasimu ziwekewe kinga’

Mtaalamu wa masuala ya Katiba, Profesa Chris Peter Maina amewataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuhakikisha hoja muhimu wanazotaka ziingie katika Katiba, zinawekewa kinga ili kudhibiti uwezekano wa kuchezewa na watu wasio na mapenzi mema kwa taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani