Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA, ONA AIBU KUMLISHA MWENZIO KWENYE CHOMBO KICHAFU

Haya tena kama ilivyo ada yetu tumekutana kwenye kona yangu, ukifika wakati huu mzungumzaji mkubwa nakuwa peke yangu, wengine wote mnabaki kimya kunisikiliza. Najua mmekaa mkao wa kula, leo nakuona mpanaa kama gauni la Jamatini. Ndiyo mimi kiroho kukudunda kila ifikapo Jumatano, wasiwasi wako leo utasemwa wewe. Sipo kwa ajili ya kukurusha roho mwa kwetu bali kukurudisha katika mstari usionekane kioja mbele za watu. Lakini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ONA AIBU MUMEO KUTUNZWA NA NYUMBA NDOGO

Najua nikisema sana nitaonekana kuwa nina mdomo wakati kila kiumbe hapa duniani kina mdomo, lakini kwa vile kuwapasha ndiyo ‘hobi’ yangu acha niwachane ‘live’ simuogopi mtu hasa wewe mwenye hila ya kwapa kunuka bila kidonda. Mambo mengine unaweza kuona kama ni kichekesho, kwa vile mimi nyani mzee niliyeishi muda mrefu na kukutana na shuruba za porini, siwezi kuliacha hivi hivi likapita kwani aibu hii...

 

11 years ago

GPL

BARUA NZITO: DADA MAINDA, HEBU ONA AIBU BASI!!

Staa wa Bongo Muvi, Ruth Suka ‘Mainda’. KWAKO, Ruth Suka ‘Mainda’, zamani uliitwa Mwanaidi kabla ya kungia kwenye ‘njia hii’. Ni imani yangu unaendelea vyema na shughuli zako za kila siku. Kwanza nakupa pole kwa habari iliyotoka katika gazeti damu moja na hili, Ijumaa Wikienda, toleo la Jumatatu iliyopita (achana na la juzi).… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Shoga; mumeo siyo kaka yako, usimuonee aibu!

hotsexylady94968Shoga, matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na ulisherehekea vizuri Sikukuu ya Idd na Krismasi na sasa unajiandaa kuupokea Mwaka Mpya wa 2016.

Kama sikukuu hizo hazikuwa nzuri kwako, hebu jipange ili Mwaka Mpya nawe ufurahi kama ilivyokuwa kwa wenzako ambao walifurahi kuwa na wenza wao wakila na kunywa.
Leo shoga yangu nataka kuzungumza na wewe kuhusu tabia ya kumuonea aibu mumeo wakati siyo kaka yako wala mkweo.

Nasema hivyo kufuatia mazungumzo yaliyojiri baina yangu na mwenzetu mmoja...

 

9 years ago

GPL

SHOGA: MADOIDO MUHIMU KWENYE ENEO LENU LA KUJIDAI!

Shoga yangu, leo nitazu-ngumza nawe mada iliyobebwa na kichwa hicho hapo juu.Bila shaka unaelewa ili kila kitu kiende sawa lazima kiwe na madoido yake, mfano ukitaka usifiwe kwa mapishi matamu lazima uweke viungo mbalimbali kwenye mapishi yako. Ukitaka nyumba yako ipendeze lazima uipambe kwa mapambo mbalimbali, hata ukitaka kuonekana smati lazima ujue namna ya kupangilia mavazi yako. Tukitoka kwenye mambo hayo, tukirejea kwenye...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

10 years ago

GPL

MAKUBWA! AKODI KIBAO KATA KWENYE KUMSUTA SHOGA'KE

HAMIDA HASSAN
Wanawake wa mjini wanasema makubwa, madogo yana nafuu! Msemo huo unakwenda sambamba na tukio la hivi karibuni la mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Rukia Mabeseni mkazi wa Kigogo jijini Dar kukodi ngoma ya kibao kata kwa lengo la kwenda kumsuta shoga yake aitwaye mama Mariam. Rukia Mabeseni akimsuta shoga yake pamoja na wenzie. Ilikuwaje? Msikie Rukia Mabeseni
“Shost wangu, huyu mama Mariam huyu...

 

10 years ago

Bongo5

Eminem ameigiza kwenye filamu ya ‘The Interview’ ambamo alijitangaza kuwa ni shoga (Video)

Eminem ameigiza pia kwenye filamu ya The Interview ambayo imekuwa chanzo cha kukua kwa mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini. Kuonekana kwa Eminem kwenye filamu hiyo kunaweza kuwa kunachekesha zaidi kwa wengi pale ambapo rapper huyo anayefahamika kwa mashairi yake ya kuwaponda mashoga akimshangaza mtangazaji (nafasi iliyoigizwa na James Franco) aliposema kuwa naye ni […]

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol asimulia ‘aibu’ aliyoipata kwenye show yake ya kwanza kutumbuiza!

Kila msanii unayemfahamu ana show moja ama mbili alizowahi kuzifanya lakini zikawa mbaya kiasi ambacho hawezi kuisahau. Akiongea kwenye kipindi cha Kili Chat kinachorushwa kila Alhamis kupitia EATV, Ben Pol alisema show yake mbaya zaidi kuifanya ni ile ya kwanza kabisa kuwahi kufanya wakati huo akiwa na wimbo uliomtambulisha, ‘Nikikupata’. “Nafikiri pia sababu ya ugeni […]

 

9 years ago

GPL

SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO

Shoga, awali ya yote napenda kuwapongeza wote waliojitokeza katika zoezi la kupiga kura juzi kwani wameitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kikubwa sasa kusubiri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa kiti cha urais ili tuendelee na maisha yetu ya kawaida. Leo shoga yangu nimeona nizungumze nawe mwenzangu uliyeolewa kuhusiana na mama zetu ambao wametuzaa, kutulea, kutusomesha na hatimaye kutuozesha kwa waume zetu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani