Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ONA AIBU MUMEO KUTUNZWA NA NYUMBA NDOGO

Najua nikisema sana nitaonekana kuwa nina mdomo wakati kila kiumbe hapa duniani kina mdomo, lakini kwa vile kuwapasha ndiyo ‘hobi’ yangu acha niwachane ‘live’ simuogopi mtu hasa wewe mwenye hila ya kwapa kunuka bila kidonda. Mambo mengine unaweza kuona kama ni kichekesho, kwa vile mimi nyani mzee niliyeishi muda mrefu na kukutana na shuruba za porini, siwezi kuliacha hivi hivi likapita kwani aibu hii...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA, ONA AIBU KUMLISHA MWENZIO KWENYE CHOMBO KICHAFU

Haya tena kama ilivyo ada yetu tumekutana kwenye kona yangu, ukifika wakati huu mzungumzaji mkubwa nakuwa peke yangu, wengine wote mnabaki kimya kunisikiliza. Najua mmekaa mkao wa kula, leo nakuona mpanaa kama gauni la Jamatini. Ndiyo mimi kiroho kukudunda kila ifikapo Jumatano, wasiwasi wako leo utasemwa wewe. Sipo kwa ajili ya kukurusha roho mwa kwetu bali kukurudisha katika mstari usionekane kioja mbele za watu. Lakini...

 

11 years ago

GPL

BARUA NZITO: DADA MAINDA, HEBU ONA AIBU BASI!!

Staa wa Bongo Muvi, Ruth Suka ‘Mainda’. KWAKO, Ruth Suka ‘Mainda’, zamani uliitwa Mwanaidi kabla ya kungia kwenye ‘njia hii’. Ni imani yangu unaendelea vyema na shughuli zako za kila siku. Kwanza nakupa pole kwa habari iliyotoka katika gazeti damu moja na hili, Ijumaa Wikienda, toleo la Jumatatu iliyopita (achana na la juzi).… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Shoga; mumeo siyo kaka yako, usimuonee aibu!

hotsexylady94968Shoga, matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na ulisherehekea vizuri Sikukuu ya Idd na Krismasi na sasa unajiandaa kuupokea Mwaka Mpya wa 2016.

Kama sikukuu hizo hazikuwa nzuri kwako, hebu jipange ili Mwaka Mpya nawe ufurahi kama ilivyokuwa kwa wenzako ambao walifurahi kuwa na wenza wao wakila na kunywa.
Leo shoga yangu nataka kuzungumza na wewe kuhusu tabia ya kumuonea aibu mumeo wakati siyo kaka yako wala mkweo.

Nasema hivyo kufuatia mazungumzo yaliyojiri baina yangu na mwenzetu mmoja...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, NYUMBA NDOGO UMEZITAKA MWENYEWE

Jamani hamjambo naona viroho vinawadunda baada ya kuufunua  ukurasa huu na kujiuliza leo kombora linaangukia kwa nani? Jamani narudia sipo kwa ajili ya kuwarusha roho bali mtajirusha wenyewe kutokana na tabia zenu mbaya. Nia yangu ni ile kumuona mwanamke wenzangu mambo ya kike hayampiti kando. Jamani kuna mambo mengine yanasikitisha, hivi kwa nini umuogope mwanamke mwenzio mwenye viungo kama wewe. Wiki iliyopita nilielezea...

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu nyumba za wakubwa kutunza mihadarati

Tanzania imekuwa katika vita ngumu ya kupambana na matatizo mbalimbali yanayoisumbua, yakiwamo ya kiuchumi, kijamii na hata kisiasa.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI

Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi. 
 Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini. 
 Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...

 

9 years ago

Dewji Blog

ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya

DSC_0554

 

Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).

DSC_0606

Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’

DSC_1999Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga  asubuhi ya leo wameweza  kusimamisha baadhi ya shughuli  eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya  kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...

 

9 years ago

Michuzi

MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akizungumza na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera ili kukagua kituo hicho na kuzungumza na wataalam.Wa Tatu kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise), na wa Nne kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.Katibu Mkuu Wizara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani