ONA AIBU MUMEO KUTUNZWA NA NYUMBA NDOGO
![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3M8lm1abUuw92HeGUPvdwzZGJcPg4qSqgQl0ZTl5h*UFrI1jOfMtS*VNtiQ6iTuKTKMgTK9-A6CUPL0R4MMzI8d/700lovecouplerelationshipkisspassionsexmarriagedate.jpg?width=650)
Najua nikisema sana nitaonekana kuwa nina mdomo wakati kila kiumbe hapa duniani kina mdomo, lakini kwa vile kuwapasha ndiyo ‘hobi’ yangu acha niwachane ‘live’ simuogopi mtu hasa wewe mwenye hila ya kwapa kunuka bila kidonda. Mambo mengine unaweza kuona kama ni kichekesho, kwa vile mimi nyani mzee niliyeishi muda mrefu na kukutana na shuruba za porini, siwezi kuliacha hivi hivi likapita kwani aibu hii...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AfIdm1OYa*7-DVI8cuwRsp3hxMPhi4HAzMstiYSKV-7Ux8wfcK41m58-pW1f*lkdjEJUQ87yHmU5dSF2xQzXm7u/julianadidone3.jpg?width=650)
SHOGA, ONA AIBU KUMLISHA MWENZIO KWENYE CHOMBO KICHAFU
11 years ago
GPLBARUA NZITO: DADA MAINDA, HEBU ONA AIBU BASI!!
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Shoga; mumeo siyo kaka yako, usimuonee aibu!
Shoga, matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na ulisherehekea vizuri Sikukuu ya Idd na Krismasi na sasa unajiandaa kuupokea Mwaka Mpya wa 2016.
Kama sikukuu hizo hazikuwa nzuri kwako, hebu jipange ili Mwaka Mpya nawe ufurahi kama ilivyokuwa kwa wenzako ambao walifurahi kuwa na wenza wao wakila na kunywa.
Leo shoga yangu nataka kuzungumza na wewe kuhusu tabia ya kumuonea aibu mumeo wakati siyo kaka yako wala mkweo.
Nasema hivyo kufuatia mazungumzo yaliyojiri baina yangu na mwenzetu mmoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTYIL3aKtLUstTPHl5Qo3xEnzw0msBgljuJB8KRdNrbub*ravCUwPHTfCXkCpeyWM4ThRQo7YkVLuoDQRZ0DJFX/Judithtwoandahalfmen1360629320802560.jpg?width=650)
SHOGA, NYUMBA NDOGO UMEZITAKA MWENYEWE
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Aibu nyumba za wakubwa kutunza mihadarati
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s72-c/guns.jpg)
TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI
![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s1600/guns.jpg)
Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya
Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).
Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’
Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga asubuhi ya leo wameweza kusimamisha baadhi ya shughuli eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s72-c/moja.jpg)
MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima
![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s640/moja.jpg)