Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya

DSC_0554

 

Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).

DSC_0606

Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TAASISI YA UTAFITI YA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI NA KUSINI (ESAURP)YAANDAA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MKOANI MBEYA


Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika ( ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika mafunzo hayo ya siku tano yaliyolenga kuwapatia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’

DSC_1999Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga  asubuhi ya leo wameweza  kusimamisha baadhi ya shughuli  eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya  kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI

Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi. 
 Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini. 
 Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO BAGAMOYO WAANZA KUTUMIA BANDARI NDOGO BAADA YA KUSUSIA KWA MUDA

NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO

WAFANYABIASHARA ndogondogo Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani,wameanza rasmi kazi kwenye bandari ndogo wilayani hapa, baada ya kusimama kwa takribani miezi mitatu.

Hatua hiyo imetokana na Mkuu wa wilaya hiyo Zainab Kawawa kukaa nao pamoja na Maofisa wanaosimamia Bandari hiyo, kufanikiwa kumaliza tofauti hiyo, hatimae kuanza tena shughuli zao.

Akizunguma katika Bandari ndogo wilayani humo, Kawawa alisema kuwa kunyanyaswa kwa wafanyabiashara hao ni sawa na kumnyanyasa...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal afunda wafanyabiashara ndogo kemikali

BAADHI ya wafanyabiashara ndogo wametajwa kuchanganya kemikali na vyakula bila utaratibu hali inayodaiwa kuhatarisha afya za walaji wa vyakula hivyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chupa ndogo hatari kwa walevi DRC

Unywaji wa pombe umeongezeka kwa kiasi kikubwa mjini Kinshasa DRC kutokana na utengenezaji wa chupa ndogo za pombe

 

9 years ago

Bongo5

Ushirikiano wa ma-producer wa Tanzania upo kwa asilimia ndogo sana — Nahreel

Ili muziki wa Tanzania ukue na uende mbali inahitajika nguvu ya pamoja upande wa wasanii na hata watayarishaji wa muziki. Producer Nahreel wa The Industry amesema kuwa upande wa watayarishaji wa muziki ushirikiano uliopo ni mdogo sana. “Ushirikiano wa maproducer wa Tanzania kufanya kazi pamoja haupo kwa asilimia kubwa ni maproducer wachache sana ambao wanakuwa […]

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUWASILISHA MALALAMIKO YA WATEJA KWENYE TAASISI ZA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA

Benki Kuu ya Tanzania imekuwa ikipokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wa Watoa Huduma Ndogo za Fedha nchini yakiwemo kutokupewa mikataba ya mikopo, kutokupewa taarifa ya mikopo (loan statement) wanapotaka kulipa mikopo hiyo, kuchelewa kujibiwa.
maombi yao ya kulipa mkopo mapema, kutozwa riba na gharama zingine kubwa wanapotaka kulipa mkopo mapema. Kutokana na malalamiko hayo, Benki Kuu ya Tanzania imewaagiza Watoa Huduma Ndogo za Fedha waliolalamikiwa kuchukuwa hatua zifuatazo:

1....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani