Eminem ameigiza kwenye filamu ya ‘The Interview’ ambamo alijitangaza kuwa ni shoga (Video)
Eminem ameigiza pia kwenye filamu ya The Interview ambayo imekuwa chanzo cha kukua kwa mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini. Kuonekana kwa Eminem kwenye filamu hiyo kunaweza kuwa kunachekesha zaidi kwa wengi pale ambapo rapper huyo anayefahamika kwa mashairi yake ya kuwaponda mashoga akimshangaza mtangazaji (nafasi iliyoigizwa na James Franco) aliposema kuwa naye ni […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Aug
Video: Tazama Interview ya AY kwenye The Playlist ya Times Fm
9 years ago
Bongo506 Nov
Video: Tazama interview ya Izzo B kwenye The Playlist ya Times FM
![12070822_896813407061700_1815623839_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12070822_896813407061700_1815623839_n-300x194.jpg)
Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameendelea ku-upload interviews anavyofanya na mastaa kwenye kipindi chake cha The Playlist ambacho kinawashusha mastaa ndani ya studio za 100.5 Times FM kila Jumapili Saa 10 – 12 jioni, wakichagua nyimbo tano wanazopenda na kuwahoji mambo muhimu kuhusu mtindo wa maisha, fashion na burudani.
Izzo B alizungumza mambo mengi muhimu kuhusu muziki wake, Ngwair, Suma Lee, Sugu, Master Jay, Marco Chali, Nah Reel, Wema Sepetu, Jokate, Kajala, Vaneesa Mdee, Quick...
9 years ago
Bongo519 Oct
Video: Tazama Interview ya Ruby kwenye The Playlist ya Times FM (hosted by Lil Ommy)
5 years ago
Bongo514 Feb
Exclusive interview na Amanda Swartbooi, model kwenye video ya Show Me ya Harmonize na Mavoko na Coolest Kids in Africa ya Davido
Amanda Swartbooi, ni sura ambayo utaiona sana mwaka huu. Macho ya wengi yalimuona mrembo huyu kwenye video ya Davido na Nasty C, Coolest Kids in Africa na hakika alionesha kuwa ni habari nyingine kwenye fani hiyo. Harmonize na Rich Mavoko wamefanikiwa kumtumia kwenye video ya wimbo wao, Show Me ambaye tayari ameifanya video hiyo iwe gumzo mtandaoni.
Nimemtafuta Amanda na kuzungumza naye mawili matatu ili kumfahamu zaidi. Fuatilia chat yetu hapo chini:
1. When did you start appearing on...
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Filamu ya Interview yatikisa mitandaoni
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
Filamu ya “The Interview” ya kumuua kiongozi wa Korea yafanya vyema
Filamu ya Sony ya The Interview ambayo inazungumzia mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini imekuwa filamu ya kwanza ya Sonny kufanya vyema sana katika mtandao kwa kuingiza dola milioni 15 katika siku 4 tu za kuanza kuonwa kwake.
Filamu hiyo iliingia sokoni Desemba 24.
Pamoja na kuingiza fedha hizo filamu hiyo imepakuliwa zaidi ya mara milioni 2 hadi kufikia Desemba 27.
Filamu hiyo ambayo inazungumzia mpango wa Marekani wa kumuua kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un, awali...
11 years ago
BBCSwahili11 May
Mchezaji wa NFL ajitangaza kuwa shoga
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Najivunia kuwa shoga asema mkuu wa Apple
9 years ago
StarTV16 Dec
 Mwamuzi Nba  Billy Kennedy  ajitangaza kuwa ni shoga.
Mwamuzi mkongwe wa ligi ya mpira wa Kikapu nchini Marekani NBA Billy Kennedy amefafanua na kuweka wazi kuwa yeye ni shoga baada ya kuweka wazi katika mada ya matusi ya mapenzi ya jinsia moja
Kanisa moja nchini Marekani lilimkabili Mwamuzi huyo kuweza kutoa mameno hayo kupitia kampuni ya ulinzi ya Rajon
Kennedy alitoa maelezo hayo wakati wa mchezo kati ya wafalme na Celtcs Boston katika nchini Mexico Desemba 3 Mwaka huu ambapo alisema kuwa anaona ufahali wa kuchezesha ligi ya NBA ya...