Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eminem ameigiza kwenye filamu ya ‘The Interview’ ambamo alijitangaza kuwa ni shoga (Video)

Eminem ameigiza pia kwenye filamu ya The Interview ambayo imekuwa chanzo cha kukua kwa mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini. Kuonekana kwa Eminem kwenye filamu hiyo kunaweza kuwa kunachekesha zaidi kwa wengi pale ambapo rapper huyo anayefahamika kwa mashairi yake ya kuwaponda mashoga akimshangaza mtangazaji (nafasi iliyoigizwa na James Franco) aliposema kuwa naye ni […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya AY kwenye The Playlist ya Times Fm

Tazama mahojiano ya Ambwene Yessaya a.k.a AY na mtangazaji Lil Ommy katika kipindi cha The Playlist cha Times Fm. AY alizungumzia mambo mengi kuhusu maisha yake, muziki wake na ndoto zake. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama interview ya Izzo B kwenye The Playlist ya Times FM

12070822_896813407061700_1815623839_n

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameendelea ku-upload interviews anavyofanya na mastaa kwenye kipindi chake cha The Playlist ambacho kinawashusha mastaa ndani ya studio za 100.5 Times FM kila Jumapili Saa 10 – 12 jioni, wakichagua nyimbo tano wanazopenda na kuwahoji mambo muhimu kuhusu mtindo wa maisha, fashion na burudani.

Izzo B alizungumza mambo mengi muhimu kuhusu muziki wake, Ngwair, Suma Lee, Sugu, Master Jay, Marco Chali, Nah Reel, Wema Sepetu, Jokate, Kajala, Vaneesa Mdee, Quick...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya Ruby kwenye The Playlist ya Times FM (hosted by Lil Ommy)

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameachia kipindi chake cha The Playlist alichofanya na msanii wa kike, Ruby kwenye mtandao wa YouTube ili mashabiki waweze kuona na kusikia kilichojiri kwenye show hiyo. Ruby alizungumzia ujio wa album yake, Vanessa Mdee, collabo na Christian Bella na mambo mengine kibao. Kwa taarifa zaidi unaweza kumfollow @LilOmmy kwenye […]

 

5 years ago

Bongo5

Exclusive interview na Amanda Swartbooi, model kwenye video ya Show Me ya Harmonize na Mavoko na Coolest Kids in Africa ya Davido

Amanda Swartbooi, ni sura ambayo utaiona sana mwaka huu. Macho ya wengi yalimuona mrembo huyu kwenye video ya Davido na Nasty C, Coolest Kids in Africa na hakika alionesha kuwa ni habari nyingine kwenye fani hiyo. Harmonize na Rich Mavoko wamefanikiwa kumtumia kwenye video ya wimbo wao, Show Me ambaye tayari ameifanya video hiyo iwe gumzo mtandaoni.

Nimemtafuta Amanda na kuzungumza naye mawili matatu ili kumfahamu zaidi. Fuatilia chat yetu hapo chini:

1. When did you start appearing on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Filamu ya Interview yatikisa mitandaoni

Kampuni ya Sony Picutues inasema kuwa - the interview imekuwa yenye mafanikio zaidi mitandaoni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Filamu ya “The Interview” ya kumuua kiongozi wa Korea yafanya vyema

The-Interview-Movie-Poster-Wallpaper

Filamu ya Sony ya The Interview ambayo inazungumzia mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini imekuwa filamu ya kwanza ya Sonny kufanya vyema sana katika mtandao kwa kuingiza dola milioni 15 katika siku 4 tu za kuanza kuonwa kwake.

Filamu hiyo iliingia sokoni Desemba 24.

Pamoja na kuingiza fedha hizo filamu hiyo imepakuliwa zaidi ya mara milioni 2 hadi kufikia Desemba 27.

Filamu hiyo ambayo inazungumzia mpango wa Marekani wa kumuua kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un, awali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa NFL ajitangaza kuwa shoga

Mchezaji wa timu ya ligi ya soka ya Marekani, National Footbal League ,Michael Sam amejitangaza kuwa shoga .

 

10 years ago

BBCSwahili

Najivunia kuwa shoga asema mkuu wa Apple

Mkuu wa kampuni ya Apple Tim Cook ametangaza jinsia yake akisema kuwa ''anajivunia kuwa shoga''..

 

9 years ago

StarTV

 Mwamuzi Nba  Billy Kennedy  ajitangaza kuwa ni shoga.

Mwamuzi mkongwe wa ligi ya mpira wa Kikapu nchini Marekani NBA Billy Kennedy  amefafanua na kuweka wazi kuwa yeye ni shoga baada ya kuweka wazi katika mada ya matusi  ya mapenzi ya jinsia moja

Kanisa moja nchini Marekani lilimkabili  Mwamuzi huyo kuweza kutoa mameno hayo kupitia kampuni ya ulinzi ya Rajon

Kennedy  alitoa maelezo hayo wakati wa mchezo kati ya wafalme na Celtcs Boston katika  nchini Mexico Desemba 3 Mwaka huu ambapo alisema kuwa anaona ufahali wa kuchezesha ligi ya NBA ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani