Filamu ya “The Interview” ya kumuua kiongozi wa Korea yafanya vyema
Filamu ya Sony ya The Interview ambayo inazungumzia mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini imekuwa filamu ya kwanza ya Sonny kufanya vyema sana katika mtandao kwa kuingiza dola milioni 15 katika siku 4 tu za kuanza kuonwa kwake.
Filamu hiyo iliingia sokoni Desemba 24.
Pamoja na kuingiza fedha hizo filamu hiyo imepakuliwa zaidi ya mara milioni 2 hadi kufikia Desemba 27.
Filamu hiyo ambayo inazungumzia mpango wa Marekani wa kumuua kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un, awali...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Dec
Sony wasitisha kutoa filamu ya komedi ‘The Interview’ iliyohusu mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Korea kaskazini yafanya maadhimisho
10 years ago
MichuziDEGE ECO - VILLAGE YAFANYA VYEMA KATIKA MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR
Meneja Mauzo wa Dege Eco - Village, Bi. Catherine Mhina alisema kwamba Dege Eco Village wanafurahi sana kuweza kuwafikia watanzania wengi ambao walikuwa na shauku ya kujua huduma wanazo zitoa iki ni pamoja na kununua nyumba wanazojenga katika mradi wao."Tunashukuru Kila mmoja alikuwa akipita hapa...
11 years ago
Michuzi24 Jun
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Korea Kaskazini yafanya jaribio la bomu
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mjomba wa kiongozi wa Korea anyongwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s72-c/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI AJITOKEZA HADHARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s400/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Filamu ya Interview yatikisa mitandaoni
10 years ago
MichuziUONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KAAT) YAFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR