Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sony wasitisha kutoa filamu ya komedi ‘The Interview’ iliyohusu mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini

Kampuni ya Sony Pictures Entertainment imesitisha kutoa filamu yake ya komedi, The Interview ambayo inazungumzia mkasa wa kutunga unaohusu mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kusini, Kim Jong-un. Kampuni hiyo ilikuwa ifanye uzinduzi wa filamu hiyo siku ya Christmas lakini hackers walitishia kufanya shambulizi kama la 9/11 kwenye majumba ya sinema ambayo yangeionesha nchini Marekani. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Filamu ya “The Interview” ya kumuua kiongozi wa Korea yafanya vyema

The-Interview-Movie-Poster-Wallpaper

Filamu ya Sony ya The Interview ambayo inazungumzia mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini imekuwa filamu ya kwanza ya Sonny kufanya vyema sana katika mtandao kwa kuingiza dola milioni 15 katika siku 4 tu za kuanza kuonwa kwake.

Filamu hiyo iliingia sokoni Desemba 24.

Pamoja na kuingiza fedha hizo filamu hiyo imepakuliwa zaidi ya mara milioni 2 hadi kufikia Desemba 27.

Filamu hiyo ambayo inazungumzia mpango wa Marekani wa kumuua kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un, awali...

 

5 years ago

CCM Blog

KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI AJITOKEZA HADHARANI

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un hatimaye amejitokeza hadharani katika uzinduzi wa kiwanda cha mbolea Ijumaa Mei 1 baada ya uvumi kuhusu afya yake, limesema shirika la habari la serikali la KCNA.
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...

 

5 years ago

Michuzi

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ajitokeza hadharani kwa mara ya kwanza

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un hatimaye amejitokeza hadharani katika uzinduzi wa kiwanda cha mbolea Ijumaa Mei 1 baada ya uvumi kuhusu afya yake, limesema shirika la habari la serikali la KCNA.
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yafyatua makombora

Korea kaskazini yafyatua makombora ya masafa mafupi kupinga mazoezi ya kijeshi katika peninsula ya Korea

 

10 years ago

BBCSwahili

Magereza ya Korea Kaskazini yanatisha

Ripoti ya UN imeeleza kwamba mfumo wa magereza Korea Kaskazini ni wa kuangamiza, kuua, kuwageuza wafungwa kuwa watumwa, ulio na unyanyasaji, ubakaji na uavyaji wa lazima wa mimba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani