Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Exclusive interview na Amanda Swartbooi, model kwenye video ya Show Me ya Harmonize na Mavoko na Coolest Kids in Africa ya Davido

Amanda Swartbooi, ni sura ambayo utaiona sana mwaka huu. Macho ya wengi yalimuona mrembo huyu kwenye video ya Davido na Nasty C, Coolest Kids in Africa na hakika alionesha kuwa ni habari nyingine kwenye fani hiyo. Harmonize na Rich Mavoko wamefanikiwa kumtumia kwenye video ya wimbo wao, Show Me ambaye tayari ameifanya video hiyo iwe gumzo mtandaoni.

Nimemtafuta Amanda na kuzungumza naye mawili matatu ili kumfahamu zaidi. Fuatilia chat yetu hapo chini:

1. When did you start appearing on...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo5

Video: Stan Bakora aachia Parody ya ‘Show Me’ ya Harmonize na Rich Mavoko

Show Me ya Harmonize na Rich Mavoko ni moja kati ya nyimbo ambazo zimeonekana kufanya vizuri katika kipindi kifupi hasa video yake ikionekana kupendwa zaidi kutokana na kusheheni warembo kibao wanaosakata rumba na viuno vya kufa mtu.

Mchekeshaji maarufu nchini, Stan Bakora naye ni mmoja ya watu waliovutiwa na wimbo huo na kuamua kuufanyia parody ya dakika moja na nusu kwa ajili ya kuuongezea nguvu zaidi wimbo huo. Tazama video hiyo hapa chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

10 years ago

Bongo5

Exclusive Interview with Herieth Paul — New York based Tanzanian super model (Photos)

Elle Canada dared to use some strong words to introduce its new July (2011) cover star: “Naomi, Move Over!” The new girl on the block is Herieth Paul, who might look a bit like Ms. Campbell (she’s got those killer bangs) but has more often been compared to model Grace Jones or, as one photographer […]

 

9 years ago

MillardAyo

Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine

Wakati inasubiriwa show ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam kwenye boxing day December 26, kuna hii Interview ya Alikiba akihojiwa na Millard Ayo na kuzungumzia sehemu ya mafanikio yake 2015, alichoandikiwa na Ben Pol na mengine. Kabla hujaitazama hii Interview hapa chini, inabidi ujue pia kwenye hii show ya boxing day Escape One, Alikiba atafanya […]

The post Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine appeared...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Exclusive Interview with O’neal (BBA The Chase)

Botswana’s Big Brother Africa 2013 representative, O’neal was in Dar es Salaam, Tanzania recently for a Samsung event. He also had a chance to talk to us about his career as professional DJ, Africa Music, his relationship with Feza, Big Brother Africa and many more. Watch the interview below.

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016

Mwimbaji Harmonize wa single ya ‘Aiyola‘ akiwa ni mwimbaji wa kwanza kutambulishwa kwenye lebo ya WCB inayomilikiwa na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz, January 1 2016 alifanya show yake ya pili toka ameitoa Aiyola, kila kitu nimekuwekea kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Bongo5

Exclusive Audio: Diamond akirap kwenye beat ya ‘Show Me’ (Kid Ink f/ Chris Brown)

Kabla ya kutoka na ‘Kamwambie’ na kisha kufuata na hits nyingi mfululizo, Diamond alikuwa rapper. Na katika kuthibitisha kuwa bado anaweza kuchana, hitmaker huyo ameitumia beat ya wimbo ‘Show Me’ wa Kid Ink f/ Chris Brown kwenye kipindi cha The Hitlist cha Choice FM na kuwaacha watangazaji wa show hiyo mdomo wazi. Msikilize mwenyewe hapo […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Model aliyecheza video ya Big Sean na Chris Brown kuonekana kwenye video ya Mayunga

12292729_1514452005519363_325519831_n

Mayunga yupo nchini Marekani alikoenda kufanya wimbo na Akon. Wimbo huo ni sehemu ya mambo anayotakiwa kufanya baada ya kushinda shindano la Airtel Trace Music Star.

12277656_1665325393744095_1161270589_n

Tayari wawili hao wamesharekodi wimbo huo na kinachofuata sasa ni video ya muziki.

Alhamis hii Mayunga alieleza kupitia Instagram kuwa model atakayetumika kwenye video hiyo aliwahi kutumika kwenye video ya wimbo wa Big Sean na Chris Brown.

“Anaitwa @itsssvia unaweza kumtazama katika video ya big sean ft chris brown alionekana...

 

11 years ago

Bongo5

Mandela Day: Mafikizolo na Davido watumbuiza kwenye show iliyooneshwa live kupitia website ya MTN

Show ya bure iliyodumu kwa dakika 67 imefanyika leo jijini Johannesburg, Afrika Kusini kuadhimisha siku ya Mandela. Mafikizolo wakitumbuiza Tamasha hilo limeonekana live kupitia website ya MTN ambapo wateja wake barani kote waliweza kuiangalia mchana wa Ijumaa hii. Wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Davido, Emmy Gee, KCee, Harry Song, Mafikizolo, Oskido, Uhuru na Black Motion. […]

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste amtumia Lisa (mama wa mwanaye) kama video model kwenye video yake mpya ‘Usiwe Bubu’

Rapper Mabeste anatarajia kuachia video mpya ya wimbo wake uitwao ‘Usiwe Bubu’ Ijumaa hii ya Oct.2, wimbo ambao audio yake ilitoka mwezi January mwaka huu, . Kwenye video hiyo safari hii Mabeste ameamua kumtumia girlfriend wake ambaye pia ni mama wa mwanaye aitwaye Lisa kama video model. “Amekuwa video queen kwasababu nimeona ana vigezo vya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani