Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Tazama Interview ya AY kwenye The Playlist ya Times Fm

Tazama mahojiano ya Ambwene Yessaya a.k.a AY na mtangazaji Lil Ommy katika kipindi cha The Playlist cha Times Fm. AY alizungumzia mambo mengi kuhusu maisha yake, muziki wake na ndoto zake. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama interview ya Izzo B kwenye The Playlist ya Times FM

12070822_896813407061700_1815623839_n

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameendelea ku-upload interviews anavyofanya na mastaa kwenye kipindi chake cha The Playlist ambacho kinawashusha mastaa ndani ya studio za 100.5 Times FM kila Jumapili Saa 10 – 12 jioni, wakichagua nyimbo tano wanazopenda na kuwahoji mambo muhimu kuhusu mtindo wa maisha, fashion na burudani.

Izzo B alizungumza mambo mengi muhimu kuhusu muziki wake, Ngwair, Suma Lee, Sugu, Master Jay, Marco Chali, Nah Reel, Wema Sepetu, Jokate, Kajala, Vaneesa Mdee, Quick...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya Ruby kwenye The Playlist ya Times FM (hosted by Lil Ommy)

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameachia kipindi chake cha The Playlist alichofanya na msanii wa kike, Ruby kwenye mtandao wa YouTube ili mashabiki waweze kuona na kusikia kilichojiri kwenye show hiyo. Ruby alizungumzia ujio wa album yake, Vanessa Mdee, collabo na Christian Bella na mambo mengine kibao. Kwa taarifa zaidi unaweza kumfollow @LilOmmy kwenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Utapenda jinsi Idris Sultan alivyofunguka kwenye The Playlist ya Times FM

12331712_916817315061266_1260372400_n

Idris Sultan mtu mwenye maneno mengi. Msikie zaidi jinsi alivyofunguka kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM kinachoendeshwa na Lil Ommy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

MISS IFM 2014 KUFUNGUKA NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII

Kipindi cha The Playlist cha 100.5 Times Fm kinachoongozwa na Omary Tambwe aka Lil Ommy, Jumapili hii kitamdondosha mrembo aliyeshinda taji la Miss IFM 2014, Lilian Timoth. Akiwa kama mrembo ambaye amepata nafasi ya kuingia kwenye orodha ya celebs wa Tanzania katika tasnia ya ulimbwende, Lilian atazicheza nyimbo tano kali anazozipenda zaidi huku akijibu maswali ya kichokozi yanayomhusu. The Playlist inakuwa hewani kila Jumapili...

 

11 years ago

GPL

MIRROR WA ENDLESS FAME KUFANYA YAKE NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII

Mwimbaji wa Bongo Flava anaefanya kazi chini ya kampuni ya Endless Fame ya Wema Sepetu, Mirror aka Kioo atakuwa katika kipindi cha The Playlist cha 100.5 Times Fm Jumapili hii (June 1). Mkali huyo wa ‘Baby’ ambaye hivi sasa ameachia pini jipya alilolibatiza jina la ‘Kolokolo’ atazicheza ngoma tano kali anazozipenda zaidi na kuzielezea, pia atajibu maswali ya kichokozi yaliyonyooshwa na rula ya Omary...

 

11 years ago

GPL

MISS IFM 2014 KUFUNGUKA NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII‏

Miss IFM 2014, Lilian Timoth. KIPINDI cha The Playlist cha 100.5 Times Fm kinachoongozwa na Omary Tambwe aka Lil Ommy, Jumapili hii kitamdondosha mrembo aliyeshinda taji la Miss IFM 2014, Lilian Timoth. Akiwa kama mrembo ambaye amepata nafasi ya kuingia kwenye orodha ya celebs wa Tanzania katika tasnia ya ulimbwende, Lilian atazicheza nyimbo tano kali anazozipenda zaidi huku akijibu maswali ya kichokozi yanayomhusu. The Playlist...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama walichofanya Soggy Doggy,Wakazi na TID kwenye uzinduzi wa video za Professor Jay

Wasanii kibao walijitokeza kumsapoti Professor Jay kwenye uzinduzi wa video zake mbili Jumamosi hii. Soggy Doggy,Wakazi na TID ni baadhi ya wasanii waliotumbuizam Tazama ilivyokuwa. TID aikiimba wimbo wa Missing You wa KC & JOJO TID na Wakazi wakitoa Freestyle Soggy Doggy akitumbuiza

 

9 years ago

Bongo5

Round Up: Tazama yaliyotokea kwenye Showbiz Tanzania (New Video)

Kuanzia vacation ya Huddah Monroe jijini Dar, ujio wa Roc Nation Africa na bifu jipya kati ya Mirror na Nuh Mziwanda hii ni Round Up. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani