Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Utapenda jinsi Idris Sultan alivyofunguka kwenye The Playlist ya Times FM

12331712_916817315061266_1260372400_n

Idris Sultan mtu mwenye maneno mengi. Msikie zaidi jinsi alivyofunguka kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM kinachoendeshwa na Lil Ommy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya AY kwenye The Playlist ya Times Fm

Tazama mahojiano ya Ambwene Yessaya a.k.a AY na mtangazaji Lil Ommy katika kipindi cha The Playlist cha Times Fm. AY alizungumzia mambo mengi kuhusu maisha yake, muziki wake na ndoto zake. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama interview ya Izzo B kwenye The Playlist ya Times FM

12070822_896813407061700_1815623839_n

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameendelea ku-upload interviews anavyofanya na mastaa kwenye kipindi chake cha The Playlist ambacho kinawashusha mastaa ndani ya studio za 100.5 Times FM kila Jumapili Saa 10 – 12 jioni, wakichagua nyimbo tano wanazopenda na kuwahoji mambo muhimu kuhusu mtindo wa maisha, fashion na burudani.

Izzo B alizungumza mambo mengi muhimu kuhusu muziki wake, Ngwair, Suma Lee, Sugu, Master Jay, Marco Chali, Nah Reel, Wema Sepetu, Jokate, Kajala, Vaneesa Mdee, Quick...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya Ruby kwenye The Playlist ya Times FM (hosted by Lil Ommy)

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameachia kipindi chake cha The Playlist alichofanya na msanii wa kike, Ruby kwenye mtandao wa YouTube ili mashabiki waweze kuona na kusikia kilichojiri kwenye show hiyo. Ruby alizungumzia ujio wa album yake, Vanessa Mdee, collabo na Christian Bella na mambo mengine kibao. Kwa taarifa zaidi unaweza kumfollow @LilOmmy kwenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha/Video: Tanesco wagundua wizi wa umeme kwenye nyuma ya Wema Sepetu, Idris Sultan akutwa ndani

20151208052550

Shirika la Umeme nchini, Tanesco limebaini wizi wa umeme nyumbani kwa Wema Sepetu.

Mafundi wa shirika hilo waliambatana na waandishi wa habari hadi kwenye nyumba hiyo na kubaini kuwa umeme unaingia moja kwa moja kwenye nyumba bila kupita kwenye mita.

Wakati mafundi hao wameingia nyumba hiyo walimkuta Idris Sultan ndani aliyejaribu kuwasihi wasiukate umeme.

20151208052550

Kukutwa kwa Idris kwenye nyumba hiyo kumetia mafuta zaidi tetesi za kuwa wawili hao wana uhusiano.

Jiunge na Bongo5.com...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots

Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili. Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Idris Sultan aitoa kimasomaso Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots

10329972_10204046474311089_1055068807819044995_o

Mshiriki wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots Idris Sultan ameibuka kidedea kwa kutwaa taji msimu wa 9 wa shindano BBA Hotshots na kujinyakulia kitita cha dola za kimarekani 300,000.

Shindano hilo lilidumu kwa muda miezi 2 sawa na siku 60 na kumalizika usiku leo nchini Afrika Kusini, ambalo lilishirikisha washiriki 26 kutoka nchi mbalimbali za bara la Afrika na kisha baadhi yao kutolewa kwa kukosa kura na matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea ndani ya jumba hilo na...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU NA IDRIS SULTAN WAKIFANYA SHOPPING PAMOJA KWENYE SUPER MARKET

Wema Sepetu akiwa na mshindi wa big brother Idrisa Sultan maeneo ya shopping pamoja maswali ya mjini. Hapa chini picha zaidi 

 

11 years ago

GPL

MISS IFM 2014 KUFUNGUKA NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII

Kipindi cha The Playlist cha 100.5 Times Fm kinachoongozwa na Omary Tambwe aka Lil Ommy, Jumapili hii kitamdondosha mrembo aliyeshinda taji la Miss IFM 2014, Lilian Timoth. Akiwa kama mrembo ambaye amepata nafasi ya kuingia kwenye orodha ya celebs wa Tanzania katika tasnia ya ulimbwende, Lilian atazicheza nyimbo tano kali anazozipenda zaidi huku akijibu maswali ya kichokozi yanayomhusu. The Playlist inakuwa hewani kila Jumapili...

 

11 years ago

GPL

MISS IFM 2014 KUFUNGUKA NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII‏

Miss IFM 2014, Lilian Timoth. KIPINDI cha The Playlist cha 100.5 Times Fm kinachoongozwa na Omary Tambwe aka Lil Ommy, Jumapili hii kitamdondosha mrembo aliyeshinda taji la Miss IFM 2014, Lilian Timoth. Akiwa kama mrembo ambaye amepata nafasi ya kuingia kwenye orodha ya celebs wa Tanzania katika tasnia ya ulimbwende, Lilian atazicheza nyimbo tano kali anazozipenda zaidi huku akijibu maswali ya kichokozi yanayomhusu. The Playlist...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani