Video: Utapenda jinsi Idris Sultan alivyofunguka kwenye The Playlist ya Times FM
Idris Sultan mtu mwenye maneno mengi. Msikie zaidi jinsi alivyofunguka kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM kinachoendeshwa na Lil Ommy.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Aug
Video: Tazama Interview ya AY kwenye The Playlist ya Times Fm
9 years ago
Bongo506 Nov
Video: Tazama interview ya Izzo B kwenye The Playlist ya Times FM

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameendelea ku-upload interviews anavyofanya na mastaa kwenye kipindi chake cha The Playlist ambacho kinawashusha mastaa ndani ya studio za 100.5 Times FM kila Jumapili Saa 10 – 12 jioni, wakichagua nyimbo tano wanazopenda na kuwahoji mambo muhimu kuhusu mtindo wa maisha, fashion na burudani.
Izzo B alizungumza mambo mengi muhimu kuhusu muziki wake, Ngwair, Suma Lee, Sugu, Master Jay, Marco Chali, Nah Reel, Wema Sepetu, Jokate, Kajala, Vaneesa Mdee, Quick...
10 years ago
Bongo519 Oct
Video: Tazama Interview ya Ruby kwenye The Playlist ya Times FM (hosted by Lil Ommy)
9 years ago
Bongo508 Dec
Picha/Video: Tanesco wagundua wizi wa umeme kwenye nyuma ya Wema Sepetu, Idris Sultan akutwa ndani

Shirika la Umeme nchini, Tanesco limebaini wizi wa umeme nyumbani kwa Wema Sepetu.
Mafundi wa shirika hilo waliambatana na waandishi wa habari hadi kwenye nyumba hiyo na kubaini kuwa umeme unaingia moja kwa moja kwenye nyumba bila kupita kwenye mita.
Wakati mafundi hao wameingia nyumba hiyo walimkuta Idris Sultan ndani aliyejaribu kuwasihi wasiukate umeme.
Kukutwa kwa Idris kwenye nyumba hiyo kumetia mafuta zaidi tetesi za kuwa wawili hao wana uhusiano.
Jiunge na Bongo5.com...
11 years ago
Bongo519 Sep
Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Idris Sultan aitoa kimasomaso Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots
Mshiriki wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots Idris Sultan ameibuka kidedea kwa kutwaa taji msimu wa 9 wa shindano BBA Hotshots na kujinyakulia kitita cha dola za kimarekani 300,000.
Shindano hilo lilidumu kwa muda miezi 2 sawa na siku 60 na kumalizika usiku leo nchini Afrika Kusini, ambalo lilishirikisha washiriki 26 kutoka nchi mbalimbali za bara la Afrika na kisha baadhi yao kutolewa kwa kukosa kura na matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea ndani ya jumba hilo na...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
PICHA YA WEMA SEPETU NA IDRIS SULTAN WAKIFANYA SHOPPING PAMOJA KWENYE SUPER MARKET




11 years ago
GPL
MISS IFM 2014 KUFUNGUKA NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII
11 years ago
GPL
MISS IFM 2014 KUFUNGUKA NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII