MAKUBWA! AKODI KIBAO KATA KWENYE KUMSUTA SHOGA'KE
![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8ZakEwuqiNx6TgmvqWmFoxWmgkyxZ5doCpEg8Kr8OwMKhX8MMM4BE37kWud4dqdyOLFAgv6R7oCzm5LgLwkKP9n/BACK.gif?width=650)
HAMIDA HASSAN Wanawake wa mjini wanasema makubwa, madogo yana nafuu! Msemo huo unakwenda sambamba na tukio la hivi karibuni la mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Rukia Mabeseni mkazi wa Kigogo jijini Dar kukodi ngoma ya kibao kata kwa lengo la kwenda kumsuta shoga yake aitwaye mama Mariam. Rukia Mabeseni akimsuta shoga yake pamoja na wenzie. Ilikuwaje? Msikie Rukia Mabeseni “Shost wangu, huyu mama Mariam huyu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnkRZhYCk0DZTHJi3n-wlCr5btgxIREDQWqlCWNeIGNY95k37edP-ZSQm8Um830ZG16xtz4GsKLQO2RhQl6Iux3U/BACKRISASI.jpg)
MKE AKODI KIBAO KATA KUMKOMESHA MCHEPUKO!
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
11 years ago
GPLMAISHA YA 'GETO' CHANGAMOTO KWA WANAFUNZI SEKONDARI ZA KATA TANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fnGPnI*HBH9*uOxG9XzXLX5a5uIRhb6eLgBteDh17TvKYo53DbJXQ9tuFepbGwuVJtyDD9d1GzAUc9Z0i02BdB/MTITUdf.jpg?width=550)
MTITU AVAMIA KIBAO KATA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YhW90c5bRHryzgngB8U-wHGsAHOHkjPhb73Bv2nzfRlwdgNXYgpnSZKFqj793bHiBnqV1TVnsvwVHUY*LnMMGN0/1.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/05/mtitu.jpg?width=650)
MKESHA WA KRISMASI, MKE WA MTITU AFANYA KIBAO KATA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR67eLdragVksXJJIVns9y4IRHByX-zqTwncLzKQBKS5zfBvG6W*uedeQ2hjDjRqwGooXq1FOJWb9oz6i80cirN*/WizkidPic1.jpg?width=650)
REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-9lBHdjV-n8U/VBkQPWZlaXI/AAAAAAAA4JQ/gMeZbRcgYNY/s1600/MAGDALENA%2BOLOTU.jpg)
MPIGIE KURA MISS KIGAMBONI KWENYE SHINDANO LA 'NEXT AFRICA SUPER MODAL ULTIMATE SEARCH 2014'