Tanzania yatajwa kuwa eneo muhimu kuzalisha methano
Ujumbe wa Tanzania uliopo nchini Canada kwa ziara ya mafunzo ukiongozwa na Naibu Waziri Nishati na Madini, Charles Kitwanga (aliyenyoosha mkono), ukiwa katika chumba cha kusimamia mitambo ya kuzalisha methano (haionekani pichani) katika kiwanda cha kuzalisha malighafi hiyo kilicho katika jimbo la Alberta nchini Canada.
Ujumbe wa Tanzania uliopo nchini Canada ukiongozwa na Naibu Waziri Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa nne kutoka kushoto, waliosimama), ukiwa katika picha ya pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV14 Nov
Tanzania yatajwa kuwa na ongezeko la wagonjwa ya kisukari
Tanzania yatajwa kuwa nchi ya 8 kati ya nchi kumi Barani Afrika zinazoongoza kwa wagonjwa wa Kisukari, kwasababu ya ongezeko la wa watu wenye kisukari kadri siku zinavyokwenda katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Kutokana na tafiti za Kisukari za mwaka 2012, zinaonyesha kuwa hadi kufikia mwaka 2035 idadi ya wagonjwa wa kisukari inatarajiawa kufikia million 592 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutozingatia kanuni za afya.
Wakati Tanzania ikitarajia kuadhimisha siku ya Kisukari Duniani,...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Tanzania yateuliwa kuwa eneo la mfano
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-e_ea88__Mho/Ve77a1_uclI/AAAAAAAAZC0/iq98mO0H9y8/s72-c/image.jpg)
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI
![](http://3.bp.blogspot.com/-e_ea88__Mho/Ve77a1_uclI/AAAAAAAAZC0/iq98mO0H9y8/s640/image.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rups_Hne-zA/Ve77aV3939I/AAAAAAAAZCw/hrzXaN8fl3Y/s640/image%2B%25284%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s72-c/image.jpg)
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s640/image.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87t8BPsBISg/Ve7IKOrh-GI/AAAAAAAH3U4/PXZoXUDJEwA/s640/image_3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0061.jpg)
MINYOO BAPA YATAJWA KUWA TISHIO LA AFYA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0061.jpg)
Na.Vero Ignatus,Arusha
Serikali kupitia wizara ya mfugo imepokea utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa kushirikiana na chuo cha Livepol cha Uingereza na kile Bristone uingereza kuhusu athari na njia za kudhibiti magonjwa ya minyoo
Utafiti huo pia uliangazia kuwepo kwa sugu wa vimelea vya magonjwa hayo kwa dawa...
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Real Madrid yatajwa kuwa Club tajiri zaidi duniani
Real Madrid, mabingwa mara kumi wa Ulaya, wameweza kushikilia nafasi ya kwanza kama timu tajiri zaidi duniani kwa mwaka wa kumi mfululizo, katika orodha ya Deloitte ya timu tajiri duniani.
Manchester United imesogea hadi nafasi ya pili kutoka ya nne, katika tathmini iliyofanywa kwa kuzingatia mapato ya msimu wa 2013-14.
Bayern Munich, Barcelona na Paris Saint-Germain zimechukua nafasi ya tatu, nne na tano.
Klabu za England za Manchester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool zimo katika nafasi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M337wz3ftUCF7lu-mVwCDjRYQetPaA7LojzoKx4TCLlLznC6JCBga2oGUfH2tgnkQhamcij7*oWD-bFA1c545fRQ/AishwaryaRai.jpg)
SHOGA: MADOIDO MUHIMU KWENYE ENEO LENU LA KUJIDAI!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7eSrINH3cgM/VPc2Y3VzKRI/AAAAAAAHHuw/SVUFJFXyBhE/s72-c/UN%2B(2).jpg)
AFRIKA KUSINI YATAJWA KUWA NA NJIA NYINGI ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
Imeelezwa kuwa nchi ya Afrika Kusini katika bara la Afrika ndio inayoongoza kwa kuwa na njia nyingi za usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya Cocaine na Heroine .
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Habari wa Kituo Cha Habari wa Umoja wa Mataifa (UNIC),Stella Vuzo alisema kuwa hilo limetokana na ripoti ya Bodi ya Kupambana na Dawa za Kulevya ya Umoja wa Mataifa imeweka mkazo katika kwa nchi mwanachama kuweka mikakati katika...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Real Madrid yatajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani, Man Utd, FC Barcelona zafuatia!!
Timu zinazoongoza kwa utajiri duniani..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Klabu ya Real Madrid ya Hispania imetajwa kuwaklabu ya mpira wa miguu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chuo cha biashara cha Wingereza, London School of Marketing.
Katika utafiti huo umeonyesha kuwa Real Madrid inautajiri wa Pauni Bilioni 2.070 ikifatiwa na Manchester United ya Wingereza iliyotajwa kuwa na utajiri wa Pauni Bilioni 2.050 na klabu ya Barcelona ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na...