Tanzania yateuliwa kuwa eneo la mfano
Tanzania imeteuliwa kuwa miongoni mwa nchi sita duniani ambazo zitatumika kama eneo la mfano katika mpango mkakati ambao una lengo la kujadili na kupanua wigo wa vita dhidi ya malaria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Sep
Tanzania yateuliwa kuwa Kitivo cha taasisi
Jumuiya ya Umoja wa Nchi za Afrika AU imeiteua Tanzania kuwa Kitivo cha Taasisi ya Elimu ya juu ya Sayansi ya Hesabu AIMS kwa ajili ya Wanafunzi wote wa Afrika wanaotaka kupata Shahada ya juu ya Somo hilo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Stadi Dokta Shukuru Kawambwa amesema kuanzishwa kwa chuo hicho ni mpango wa Afrika kuibua Wasomi wa Hesabu watakaotumika kama nyenzo ya kuwavutia vijana wengi kulipenda somo hilo.
Dokta Kawambwa amesema Chuo hicho ambacho kimejenga kwenye majengo ya...
11 years ago
MichuziTanzania yatajwa kuwa eneo muhimu kuzalisha methano
9 years ago
StarTV11 Nov
Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi chatajwa kuwa mfano
Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi MPA mkoani Kilimanjaro kimetajwa kuwa huenda kikawa chuo cha mfano kwa wakulima wa mbogamboga na matunda mkoani humo kutokana na kuanzisha kilimo bora cha kisasa ambacho kinatajwa kuleta tija zaidi.
Mkuu wa chuo hicho Matanga Mbushi amebainisha hayo wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla alipotembelea chuoni hapo na kujionea hali halisi ya kilimo hicho.
Aslimia kubwa ya wakulima wa mbogamboga na matunda hapa nchini hulima kwa...
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Wanafunzi wa sekondari ya wasichana Makete watakiwa kuwa mfano bora kielimu na kitabia
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani).
Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro.
Maktaba ya shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (wa tatu kushoto) akiwa na walimu wa shule hiyo, wa kwanza kulia ni Afisa Taaluma sekondari wilaya hiyo.(Picha zote na Edwin...
11 years ago
GPLWANAFUNZI WA SEKONDARI YA WASICHANA MAKETE WATAKIWA KUWA MFANO BORA KIELIMU NA KITABIA
11 years ago
GPLUBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
5 years ago
MichuziRC Wangabo awataka Waganga wa tiba asili na machifu wa Mkoa kuwa mfano katika mapambano dhidi ya Corona
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akitoa maagizo kwa Machifu na Waganga wa Tiba asili wa mkoa wa Rukwa (hawapo pichani) katika kikao kifupi alichokutana nao ili kuwaelimisha juu ya ugonjwa wa CoronaMkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (aliyekaa katikati) pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa Benard Makali (Kushoto) na kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Emanuel Mtika katika Picha ya pamoja na baadhi ya Waganga wa Tiba Asili wa mkoa wa Rukwa. Mkuu...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Mkurugenzi ampinga meya eneo la shule kuwa makaburi
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Hospitali ya Mbeya yateuliwa kupima ebola