Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yateuliwa kuwa Kitivo cha taasisi

 

Jumuiya ya Umoja wa Nchi za Afrika AU imeiteua Tanzania kuwa Kitivo cha Taasisi ya Elimu ya juu ya Sayansi ya Hesabu AIMS kwa ajili ya Wanafunzi wote wa Afrika wanaotaka kupata Shahada ya juu ya Somo hilo.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Stadi Dokta Shukuru Kawambwa amesema kuanzishwa kwa chuo hicho ni mpango wa Afrika kuibua Wasomi wa Hesabu watakaotumika kama nyenzo ya kuwavutia vijana wengi kulipenda somo hilo.

 

Dokta Kawambwa amesema Chuo hicho ambacho kimejenga kwenye majengo ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Shirikisho la Madini Thailand kuisaidia Tanzania kuwa kitivo cha Madini Afrika

Na Asteria Muhozya, Bangkok,   Kutokana na kuwa na hazina kubwa ya madini ya aina mbalimbali hususani madini ya vito na usonara tofauti na nchi nyingi za Kiafrika, yakiwemo madini ya Tanzanite, Shirikisho la madini ya vito na usonara la Thailand, limehaidi kuisaidia Tanzania kuikuza sekta hiyo, katika nyanja za kibiashara na kiuchumi ili kuifanya Tanzania kuwa, kitivo kikubwa cha madini barani Afrika, huku ikianzia na kuboresha maonesho ya kimataifa ya madini ya vito na usonara ya Arusha...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yateuliwa kuwa eneo la mfano

Tanzania imeteuliwa kuwa miongoni mwa nchi sita duniani ambazo zitatumika kama eneo la mfano katika mpango mkakati ambao una lengo la kujadili na kupanua wigo wa vita dhidi ya malaria.

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA

Mwanafunzi wa mwaka wa pili wa masomo ya biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Zahra Ramadhani(kulia) akielezewa jambo na mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Habibu Ngosha ,kuhusiana na simu aina ya Smart Phone wakati Semina maalum ya mafunzo ya Kibiashara iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya biashara hapo jana chuoni hapo. Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Bidhaa wa Vodacom Tanzania,Samson Mwongela akimkabidhi zawadi mmoja wa wanafunzi wanaosoma masomo ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

JK amteua Joel Laurent kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TEA)

IMGS3953

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Joel Laurent kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TEA).  Uteuzi huo ulianza Oktoba 18, mwaka huu, 2015.

Kabla ya uteuzi wake, Ndugu Laurent alikuwa Katibu wa Taasisi hiyo ya TEA na ndiye amekuwa anakaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu,

DAR ES SALAAM.

26 Oktoba, 2015

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania kuwa kituo cha usuluhishi

>Tanzania inatarajia kuzindua kituo cha kimataifa cha usuluhishi wa migogoro ya kibiashara kutokana na kukua kwa sekta ya uwekezaji ikiwamo mafuta na gesi nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza

Waziri wa afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema aliingia nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa KIA.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kuwa kitovu kikuu cha madini ya vito Afrika

Na Greyson Mwase, Bagamoyo
Imeelezwa kuwa Tanzania inatarajia kuwa kitovu kikuu cha madini ya vito barani Afrika baada ya kubainika kuwa na utajiri mkubwa wa madini ya vito. Hayo yalisemwa na mtaalamu wa madini ya vito na almasi kutoka Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Vito na Almasi (TANSORT) kilicho chini ya Wizara ya Nishati na Madini Teddy Goliama kwenye semina iliyoshirikisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda, Afisa Madini Wakazi na Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na...

 

10 years ago

Mwananchi

Hospitali ya Mbeya yateuliwa kupima ebola

Hospitali ya Rufaa Mbeya (MRH),  imeteuliwa rasmi kuwa na maabara maalumu ya kuwapima watu watakaohisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tanzania yathibitisha kuwa na kisa kimoja cha virusi vya corona

Waziri wa afya nchini Tanzania, Bi. Ummy Mwalimu ametangaza kuwepo kwa kisa kimoja cha corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani