‘Hoja muhimu kwenye rasimu ziwekewe kinga’
Mtaalamu wa masuala ya Katiba, Profesa Chris Peter Maina amewataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuhakikisha hoja muhimu wanazotaka ziingie katika Katiba, zinawekewa kinga ili kudhibiti uwezekano wa kuchezewa na watu wasio na mapenzi mema kwa taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jCfLAQe5Xq4/UxdUzagPmqI/AAAAAAAFRTo/nij5QXGgzbE/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HF6tF1v14vk/UxdU1iUHNvI/AAAAAAAFRTw/GZqAyefgfRw/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jcpvCHCvNts/UxdWAL7446I/AAAAAAAFRT8/ZYkR1Xoqsco/s1600/unnamed+(46).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZStiGirHLFY/Uxtk8WA-jMI/AAAAAAAFSII/KAgME3nzR-o/s72-c/unnamed+(33).jpg)
busara, amani na nguzu za hoja zatawala semina ya kujadili rasimu ya kanuni bungeni dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZStiGirHLFY/Uxtk8WA-jMI/AAAAAAAFSII/KAgME3nzR-o/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-E_Qbn6GTxh4/Uxtk8oYReAI/AAAAAAAFSIM/ZRIQPKwifwQ/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXaYh6viiOA/Uxtk85yBaII/AAAAAAAFSIQ/2h6f6gV3BtE/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TDfuTLwA0P0/Uxtk9pzITfI/AAAAAAAFSIc/g1WXkh7WBQ4/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yY2Qv9lpJLQ/Uxtk-PKIaoI/AAAAAAAFSIo/32Aw0c-RsH8/s1600/unnamed+(37).jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Oct
‘Kura yangu kwenye rasimu ni hapa’
 Mbunge wa Mwibara-CCM, Kangi Lugola amesema endapo angepata nafasi ya kuipigia kura rasimu iliyopendekezwa asingefanya kitu tofauti na msimamo alionao wa kupiga kura ya hapana.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CX32FhnnL8w/UvMZB3Rgs7I/AAAAAAAFLGI/R5DNqZzwJ1M/s72-c/n1.jpg)
Hoja ya haja: Wizi kwenye Maduka ya Nyama Mwenge, Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-CX32FhnnL8w/UvMZB3Rgs7I/AAAAAAAFLGI/R5DNqZzwJ1M/s1600/n1.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba
Viongozi na wasanii kutoka baadhi ya vyama na mashirikisho ya sanaa nchini hivi karibuni walitembelea Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma kuwasilisha kilio chao cha kutaka wasanii kutambuliwa kama kundi kubwa maalumu pamoja na milikibunifu.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Alat yalalamika kutengwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya
>Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (Alat) Taifa, Didas Masaburi ameitaka Serikali Kuu kutangaza kutokuzitambua Serikali za Mitaa endapo inaona kuwa hazina umuhimu.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Dk Michael ataka sura ya Ardhi kwenye Rasimu ya Katiba
>Kamati Namba tatu ya Bunge la Katiba imependekeza Rasimu ya Katiba iongezewe masuala ya haki za umiliki wa ardhi kwa wakulima na wafugaji, kuondoa migogoro inayoendelea nchini.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M337wz3ftUCF7lu-mVwCDjRYQetPaA7LojzoKx4TCLlLznC6JCBga2oGUfH2tgnkQhamcij7*oWD-bFA1c545fRQ/AishwaryaRai.jpg)
SHOGA: MADOIDO MUHIMU KWENYE ENEO LENU LA KUJIDAI!
Shoga yangu, leo nitazu-ngumza nawe mada iliyobebwa na kichwa hicho hapo juu.Bila shaka unaelewa ili kila kitu kiende sawa lazima kiwe na madoido yake, mfano ukitaka usifiwe kwa mapishi matamu lazima uweke viungo mbalimbali kwenye mapishi yako. Ukitaka nyumba yako ipendeze lazima uipambe kwa mapambo mbalimbali, hata ukitaka kuonekana smati lazima ujue namna ya kupangilia mavazi yako. Tukitoka kwenye mambo hayo, tukirejea kwenye...
11 years ago
GPL25 Jan
SLAA: ASILIMIA 72 YA MAONI TULIYOKUSANYA YAMO KWENYE RASIMU YA PILI YA KATIBA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Wilbrod Slaa amesema asilimia 72 ya maoni yalikusanywa toka kwa wananchi na CHADEMA yamo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Slaa aliyasema hayo mjini Songea akiwa katika Operesheni M4C Pamoja Daima.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania