Dk Michael ataka sura ya Ardhi kwenye Rasimu ya Katiba
>Kamati Namba tatu ya Bunge la Katiba imependekeza Rasimu ya Katiba iongezewe masuala ya haki za umiliki wa ardhi kwa wakulima na wafugaji, kuondoa migogoro inayoendelea nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Sep
Kamati kuanza kuwasilisha Sura zilizosalia za Rasimu ya Katiba Mpya
10 years ago
GPL KAMATI KUANZA KUWASILISHA SURA ZILIZOSALIA ZA RASIMU YA KATIBA MPYA
11 years ago
Habarileo24 Apr
Wajumbe wataka sura ya ardhi Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametaka kuwepo kwa sura maalumu katika Katiba mpya, itakayozungumzia suala la ardhi pekee, ikiwa ni hatua ya kupunguza migogoro baina ya wakulima na wafugaji kwa kuweka mgawanyo sahihi wa rasilimali hiyo.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Maadili, migororo ya ardhi vyatawala sura Katiba mpya
MASUALA ya maadili ya uongozi na watumishi wa umma, rushwa, ufisadi na migogoro ya ardhi, yameelezwa kutawala katika kamati ambazo juzi zimeanza kujadili sura zilizobaki katika rasimu ya Katiba Mpya.
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Kamati mbalimbai zawasilisha maoni yao uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya Rasimu ya Katiba Mpya
Mwenyekiti wa Kamati namba mbili (2) Shamsi Vuai Nahodha akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba tano Assumpter Mshama akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo leo mjini Dodoma...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Alat yalalamika kutengwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya
11 years ago
GPL25 Jan
SLAA: ASILIMIA 72 YA MAONI TULIYOKUSANYA YAMO KWENYE RASIMU YA PILI YA KATIBA
11 years ago
MichuziJAJI MKUU MSTAAFU RAYMOND MWAIKASU APENDEKEZA VIONGOZI WA JESHI LA MAGEREZA WAINGIZWE KWENYE RASIMU YA KATIBA
Akizungumza katika warsha iliyofanyika mjini Iringa yenye lengo la kuwajengea uelewa wa katiba pamoja na mchakato wa marekebisho ya katiba kwa wananchi waishio wilaya ya Iringa vijijini, ...
5 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI