Kamati kuanza kuwasilisha Sura zilizosalia za Rasimu ya Katiba Mpya
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Yahya Khamis Hamad akiongea na waandishi wa Habari kuhusu uwasilishwaji wa Sura zilizosalia za Rasimu ya Katiba Mpya utakaofanywa na Kamati zote 12 za Bunge. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Itifaki wa Bunge hilo, Bw. Jossey Mwasyuka. Mkutano huo ulifanyika Septemba 1, 2014 kwenye Ukumbi wa Spika mjini Dodoma.
Baadhi ya Waaandishi wa Habari wakifuatilia kwa makini taarifa ikiyotolewa na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba wakati wa mkutano huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL KAMATI KUANZA KUWASILISHA SURA ZILIZOSALIA ZA RASIMU YA KATIBA MPYA
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Kamati mbalimbai zawasilisha maoni yao uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya Rasimu ya Katiba Mpya
Mwenyekiti wa Kamati namba mbili (2) Shamsi Vuai Nahodha akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba tano Assumpter Mshama akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo leo mjini Dodoma...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OEn3-72IHHA/UydRJeUlRAI/AAAAAAAFUTc/MgEShrl-i_s/s72-c/unnamedww.jpg)
JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA KUWASILISHA RASIMU YA KATIBA KESHO JUMANNE
![](http://2.bp.blogspot.com/-OEn3-72IHHA/UydRJeUlRAI/AAAAAAAFUTc/MgEShrl-i_s/s1600/unnamedww.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h0p3yk2JsnA/UydV_9qpW0I/AAAAAAAFUT8/QjYnmb8Uyik/s1600/as.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q_nzt0vyPzA/UydWB03wr0I/AAAAAAAFUUE/z-nxm4tYlFA/s1600/unnamedas.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IhqfO476L50/UydWEIDbPBI/AAAAAAAFUUM/Xv6wkdhCrbQ/s1600/unnamedasd.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3HTtGVl1TJg/UydTFaYA9aI/AAAAAAAFUTs/HuNLEb2AzRo/s1600/unnameddg.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Dk Michael ataka sura ya Ardhi kwenye Rasimu ya Katiba
11 years ago
Habarileo31 Mar
Wabunge kuanza kupitia rasimu ya Katiba
BUNGE Maalumu la Katiba linaendelea na kikao chake na miongoni mwa shughuli zinazotarajiwa kufanywa kuanzia leo, ni kurekebisha baadhi ya kanuni za uendeshaji wake na kuanza kujadiliwa kwa ibara zilizopo ndani ya rasimu ya Katiba.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10