‘Kura yangu kwenye rasimu ni hapa’
 Mbunge wa Mwibara-CCM, Kangi Lugola amesema endapo angepata nafasi ya kuipigia kura rasimu iliyopendekezwa asingefanya kitu tofauti na msimamo alionao wa kupiga kura ya hapana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s72-c/b5.jpg)
RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29
![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s640/b5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJU_KKHsRGM/VCLVWSKvvNI/AAAAAAAAL_s/ESTBsy5e-j8/s640/b7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hQmbvsZUV-k/VCLWOqB9hhI/AAAAAAAAMAM/rQAY8Bq2zoY/s640/b12.jpg)
9 years ago
VijimamboHAPA KAZI TU NA SAFARI YA MATUMAINI WAKIWA KWENYE MICHAKATO YA KUOMBA KURA
10 years ago
Habarileo25 Sep
Rasimu ya Katiba mpya hii hapa
RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, imewekwa hadharani huku Muungano uliogeuka hoja kuu wakati wa mjadala wa Rasimu ya Pili ya Katiba, ukibadilishwa na kuwa na baadhi ya sura mpya za kimuundo na kiutendaji, ambazo hazijawahi kupendekezwa katika historia ya Muungano.
10 years ago
Habarileo29 Sep
Turufu ya Rasimu ya Sitta hii hapa
RASIMU ya tatu ya Katiba maarufu kama Rasimu ya Sitta ambayo leo inaanza kupigiwa kura imejikita katika kutetea mahitaji na maslahi mahususi ya makundi makubwa ya jamii ili ikubalike kirahisi.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura mbili zapitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa
10 years ago
Habarileo11 Sep
Rasimu ya Katiba mpya kupigiwa kura Sept. 21
WAKATI kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) likishinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe haraka iwezekanavyo, Bunge hilo limejiandaa kuwasilisha Katiba inayopendekezwa Septemba 21.
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
‘Kura yangu imeokoa maisha ya mtoto’
“Kura yangu moja ya kumchagua Mbunge imesaidia kuokoa maisha ya mtoto wangu niliyekuwa nimemkatia tamaa kutokana na uwezo wangu duni kifedha.”
Hii ni kauli iliyotolewa na mama mmoja aitwaye Rose Anton, Mkazi wa Nsemulwa mjini Mpanda ambaye mwanaye, Lilian Gerald mwenye umri wa miaka 2.5 aligunduliwa kuwa na tatizo la ugonjwa wa moyo.
Katika mahojiano na gazeti hili wiki iliyopita, mama huyo alimshukuru aliyekuwa Mbunge wa Mpanda Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOIDHIc*-yKiZQe*TrKc41y6k1o30jMBiJGRUXoyU8t1AJ8jSqrK7InxaoIytWUPO-2BkLiWDe7lJN*JCevYutkE/kim.gif?width=650)
Kim: Nilimpa Ribery kura yangu
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi
BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...