‘Kura yangu imeokoa maisha ya mtoto’
“Kura yangu moja ya kumchagua Mbunge imesaidia kuokoa maisha ya mtoto wangu niliyekuwa nimemkatia tamaa kutokana na uwezo wangu duni kifedha.”
Hii ni kauli iliyotolewa na mama mmoja aitwaye Rose Anton, Mkazi wa Nsemulwa mjini Mpanda ambaye mwanaye, Lilian Gerald mwenye umri wa miaka 2.5 aligunduliwa kuwa na tatizo la ugonjwa wa moyo.
Katika mahojiano na gazeti hili wiki iliyopita, mama huyo alimshukuru aliyekuwa Mbunge wa Mpanda Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Niger: 'Maisha yangu ya kutokuwa na mtoto'
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
10 years ago
GPLKAJALA: NIACHENI NA MAISHA YANGU
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Maua yamekuwa mkombozi wa maisha yangu
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Jesca BM: Muziki ndio maisha yangu
10 years ago
Bongo Movies13 May
Shilole: Huyu Ndio Mwanaume wa Maisha Yangu
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole leo mtandaoni ameibuka na mtandaona na kuweka wazi kuwa mchumba wake Nuh Mziwanda ndio mwanaume wa maisha yake.
“Huyu nilienae pembeni yangu ndo baba yangu rafiki yangu faraja yangu ya moyo na anajua umuhimu wangu kuliko mtu yeyote yupo na mimi bega kwa bega ninapokuwa na furaha nahata ninapokuwa na majonzi mimi naweza sema ndo mwanaume wa maisha yangu naomba Mungu asije badilika nitaumia sana.Nampenda sana huyu mtu nyinyi mnamuta Nuh mimi...
11 years ago
Mwananchi17 May
‘Nahitaji Sh700,000 kuokoa maisha yangu’
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu
11 years ago
GPLMZEE GURUMO: MAISHA YANGU KULA KULALA