Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu
Jina la Madaraka Kilangi (52) kwa wenye malori makubwa aina ya Scania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini lipo mdomoni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
ZUHURA YUNUS: Haikuwa ndoto yangu kuwa mtangazaji
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Naseeb Abdul (Diamond): Starehe lina mchango mkubwa katika maisha yangu
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Elimu kikwazo mapambano ya ukoma
11 years ago
Habarileo24 Jan
'Kukosekana wataalamu wa elimu ya biashara ni kikwazo'
KUKOSEKANA kwa wataalamu wa elimu ya kibiashara kumetajwa kuwa changamoto kubwa inayokwamisha maendeleo ya biashara nchini. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Vyuo vya Elimu ya Biashara (CBE), Profesa Emanuel Mjema alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CBE tawi jipya la Mbeya hivi karibuni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0TL4lW4loCq36gptCdtfnqu15m6asrGmtkvLzs-JRisZRwtiVt2pocfnxhhOyn*4rca2SHgdCwx8ZkwokTz-TA/mahaba.jpg?width=650)
ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK93ja1xnSkJ8GQ6qM8cdEYFQ1RWZwiTw15VZ-Yof0uw6GYSw*P4w0cHd1I6aU1NBmmCm0e6K8PV2gBigUgxYb*P/MAHABA.jpg?width=650)
ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE SAHIHI -2
10 years ago
GPLKAJALA: NIACHENI NA MAISHA YANGU
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
‘Kura yangu imeokoa maisha ya mtoto’
“Kura yangu moja ya kumchagua Mbunge imesaidia kuokoa maisha ya mtoto wangu niliyekuwa nimemkatia tamaa kutokana na uwezo wangu duni kifedha.”
Hii ni kauli iliyotolewa na mama mmoja aitwaye Rose Anton, Mkazi wa Nsemulwa mjini Mpanda ambaye mwanaye, Lilian Gerald mwenye umri wa miaka 2.5 aligunduliwa kuwa na tatizo la ugonjwa wa moyo.
Katika mahojiano na gazeti hili wiki iliyopita, mama huyo alimshukuru aliyekuwa Mbunge wa Mpanda Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...