Naseeb Abdul (Diamond): Starehe lina mchango mkubwa katika maisha yangu
Nyota huyu wa muziki nchini, aliandikwa gazetini kwa mara ya kwanza katika Jarida la Starehe. Huo ulikuwa mwaka 2007 wakati akitambulisha wimbo wake Kamwambie.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM07 Aug
Mtoto wa Diamond Latiffah Naseeb Abdul Aanza Maisha ya Ustaa Akiwa Hajamaliza Hata Siku Tangu Azaliwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ag3NIa_-t2M/VcRE35OqZnI/AAAAAAAAzBM/LWpTy8p1hZ0/s400/lafifa.jpg)
Latiffah aka Tiffah hajamaliza hata siku moja lakini tayari ni staa si tu kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari bali hata kwenye midomo ya watu wanaofuatilia burudani barani Afrika.
Wazazi wake mwenyewe wanamuita ‘The Next Most Famous Daughter in Africa.’ Kwa ukubwa wa Diamond Platnumz na mama yake Zari Ttale, hakuna ubishi kuwa Tiffah ana kila sifa ya kuja kuwa ‘binti maarufu zaidi barani Afrika.
Ikiwa ni saa chache tu tangu kuzaliwa kwake, akaunti yake ya Instagram iliyofunguliwa...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Balozi Mulamula: Asasi za Kiraia zina mchango mkubwa katika Amani ukanda wa Maziwa Makuu
10 years ago
MichuziSERIKALI YA TANZANIA YAITUNUKU HUAWEI TUZO YA UONGOZI BORA NA MCHANGO MKUBWA KATIKA SEKTA YA TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbLwnNJSBqBiDesDrNt9UtwyrIP1cJLMSCfjZhGwwXa1WTHGcCAU-sQUyFZ-q0wOuK7qurf0Qpo*oS*VQ8X9uhm0/DIAMONDPLATINUMZ1.jpg?width=600)
NASIBU ABDUL ‘DIAMOND’ KATIKA POZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm2VXQmq5FERU-ivnIKocTc67sPlTO8Y6TWb16QMnRp6rEmCfokxsIWb1Bl9Ut9NjAIGbN7LjCSsYAAdLaynAFsk/Membe.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ACHAGULIWA KUWA KIONGOZI MWENYE MCHANGO MKUBWA ZAIDI KATIKA MAENDELEO BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2013
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5Ff-nMxjbsWajLHlzw2aKqDpmsPJRhiRZpMvgIWUqVNL2v9T*3jNxCM*9Px3IOSQJ8lUrbA4UD9sDtvb7T17Nx/WASTARA.jpg)
WASTARA: STAREHE YANGU KUBWA NI MAPENZI
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...