Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa Diamond Latiffah Naseeb Abdul Aanza Maisha ya Ustaa Akiwa Hajamaliza Hata Siku Tangu Azaliwe

Latiffah aka Tiffah hajamaliza hata siku moja lakini tayari ni staa si tu kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari bali hata kwenye midomo ya watu wanaofuatilia burudani barani Afrika.

Wazazi wake mwenyewe wanamuita ‘The Next Most Famous Daughter in Africa.’ Kwa ukubwa wa Diamond Platnumz na mama yake Zari Ttale, hakuna ubishi kuwa Tiffah ana kila sifa ya kuja kuwa ‘binti maarufu zaidi barani Afrika.

Ikiwa ni saa chache tu tangu kuzaliwa kwake, akaunti yake ya Instagram iliyofunguliwa...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Naseeb Abdul (Diamond): Starehe lina mchango mkubwa katika maisha yangu

Nyota huyu wa muziki nchini, aliandikwa gazetini kwa mara ya kwanza katika Jarida la Starehe. Huo ulikuwa mwaka 2007 wakati akitambulisha wimbo wake Kamwambie.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Huyu ndio Latiffah Nasibu Abdul

Diamond Platnumz na Zari Hassan wamemuonesha mtoto wao Latiffah kwa mara ya kwanza Jumapili. Tiffah Mastaa hao wamesherehekea siku 40 tangu kuzaliwa kwa mtoto huyo maarufu kwa kualika marafiki na watu wa karibu kwenye hafla iliyofanyika kwenye makazi yao, wanayoyaita State House. Mastaa mbalimbali wamehudhuria hafla hiyo ya kumtoa hadharani kwa mara ya kwanza mtoto […]

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu jinsi haiba ya mtu inavyojengeka tangu akiwa angali mtoto

Tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu linasema “Watu wote ni sawa”. Hii inatufahamisha kuwa sote kama binadamu tuna thamani sawa. Licha ya dhana hii iliyo maarufu ulimwenguni, kuna ukweli usioweza kukatalika, kuwa pia kila mmoja wetu ni mtu binafsi mwenye haiba ya aina yake ya kipekee.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AANZA MAANDALIZI KWA AJILI YA MTOTO WAKE WA KIKE

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ameonyesha kuanza maandalizi kwa kijacho wake ambaye imeelezwa ni mtoto wa kike. Diamond na mpenzi wake Zarinah Hassan 'The Boss Lady' wanatarajia mtoto wa kike mwaka huu. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Diamond ametupia picha akiwa na kitanda cha magurudumu kwa ajili ya mtoto mchanga.

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy

Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari  wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”

Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema  aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Harmonize autafuta ustaa kwa njia alizopitia bosi wake Diamond?

12317459_411872465678262_2113634085_n

Tunajua kuwa Diamond ni msanii mwenye kipaji, anayejituma na nidhamu yake ya kazi inaweza kuhamisha milima, lakini hakuna anayeweza kubisha kuwa uhusiano wake na wasichana maarufu ulimsaidia kumpa jina.

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Jacqueline Wolper, Wema Sepetu, Jokate, Zari na wengine ambao hatukuwahi kuthibitisha, wamelijenga zaidi jina lake, na of course, yeye pia amewapa fursa hiyo pia.

Inaonekana kuwa Harmonize anaanza kutumia njia za bosi wake pia kutafuta tobo.

12317459_411872465678262_2113634085_n

Hivi karibuni muimbaji huyo wa Aiyola amekuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu: Nasib Abdul angekuwa mume wangu wa maisha

wpid-wema-akiwa-pembeni-kumsupport-diamond1.jpg

Jina la Nasib Abdul bado halijatoka kichwani mwa Wema Sepetu!

wpid-wema-akiwa-pembeni-kumsupport-diamond1.jpg

Nasib Abdul ni jina halisi la Diamond Platnumz.

Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 na muigizaji wa filamu alikuwa akijibu swali kwenye kipindi cha Hitzone kupitia kituo cha redio cha Jembe FM cha jijini Mwanza alipoulizwa ni mwanaume gani ambaye alitamani awe mume wake wa ndoa.

“Ni yupi ambaye niliwahi kusema huyu anaweza kuwa wa maisha,” alisema Wema. “Kiukweli alikuwa anaitwa Nasib Abdul,nilishawahi kusema hivyo,”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani