Picha: Huyu ndio Latiffah Nasibu Abdul
Diamond Platnumz na Zari Hassan wamemuonesha mtoto wao Latiffah kwa mara ya kwanza Jumapili. Tiffah Mastaa hao wamesherehekea siku 40 tangu kuzaliwa kwa mtoto huyo maarufu kwa kualika marafiki na watu wa karibu kwenye hafla iliyofanyika kwenye makazi yao, wanayoyaita State House. Mastaa mbalimbali wamehudhuria hafla hiyo ya kumtoa hadharani kwa mara ya kwanza mtoto […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM07 Aug
Mtoto wa Diamond Latiffah Naseeb Abdul Aanza Maisha ya Ustaa Akiwa Hajamaliza Hata Siku Tangu Azaliwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ag3NIa_-t2M/VcRE35OqZnI/AAAAAAAAzBM/LWpTy8p1hZ0/s400/lafifa.jpg)
Latiffah aka Tiffah hajamaliza hata siku moja lakini tayari ni staa si tu kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari bali hata kwenye midomo ya watu wanaofuatilia burudani barani Afrika.
Wazazi wake mwenyewe wanamuita ‘The Next Most Famous Daughter in Africa.’ Kwa ukubwa wa Diamond Platnumz na mama yake Zari Ttale, hakuna ubishi kuwa Tiffah ana kila sifa ya kuja kuwa ‘binti maarufu zaidi barani Afrika.
Ikiwa ni saa chache tu tangu kuzaliwa kwake, akaunti yake ya Instagram iliyofunguliwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbLwnNJSBqBiDesDrNt9UtwyrIP1cJLMSCfjZhGwwXa1WTHGcCAU-sQUyFZ-q0wOuK7qurf0Qpo*oS*VQ8X9uhm0/DIAMONDPLATINUMZ1.jpg?width=600)
NASIBU ABDUL ‘DIAMOND’ KATIKA POZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycM1eV-4ZVcbeO0KTmxZj-DxIRrQP9SHaCeQxK5g3AdtbI*E4QKgcyT-4Mn8JrIoWJHZGGg4PgiaXblhwaNGzX6C/DIAMOND.gif?width=650)
NASIBU ABDUL ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA
9 years ago
Bongo501 Oct
Picha: Huyu ndio msanii wa Kenya aliyemshirikisha Diamond baada ya Victoria Kimani
10 years ago
Vijimambo25 Nov
NASIBU ABDUL "DIAMOND" ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA
![](http://api.ning.com/files/DbrwTSp7ycP0I*NwDdURSJVLMWPPzXicG760VyP4w32CTQjjua4Og4Wrazq7XpEDW6390Y9jtQBBwFEqG*CQoqJe6R9Y0cMA/diamond.png?width=650)
ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa saa kumi na moja jioni ya Oktoba 2, 1989 katika Hospitali ya Amana iliyopo Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam. Wazazi wake walimpa jina la Nasibu wakiamini ni la bahati.
Diamond aliongea hivi karibuni na safu hii ya Mjue Huyu ambapo aliweka wazi mambo mengi ya maisha yake. Diamond akiwa hajapata ufahamu, yaani bado mdogo, wazazi wake walitengana kwa sababu ambazo bado hazijawa wazi na baba yake kumuacha na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ILvs5R2vL9M/VM8eP9PblWI/AAAAAAAAF74/tvwGxlq3-Fw/s72-c/diamond%2Bplatnumz%2Bna%2Bzarir.jpg)
Zari Hassan kufunga ndoa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, "Asema hakuna umri maalumu wa Kuoa au Kuolewa"!
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILvs5R2vL9M/VM8eP9PblWI/AAAAAAAAF74/tvwGxlq3-Fw/s640/diamond%2Bplatnumz%2Bna%2Bzarir.jpg)
10 years ago
CloudsFM01 Apr
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Je,huyu ndio mwanamke mrembo duniani?
10 years ago
Bongo Movies13 May
Shilole: Huyu Ndio Mwanaume wa Maisha Yangu
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole leo mtandaoni ameibuka na mtandaona na kuweka wazi kuwa mchumba wake Nuh Mziwanda ndio mwanaume wa maisha yake.
“Huyu nilienae pembeni yangu ndo baba yangu rafiki yangu faraja yangu ya moyo na anajua umuhimu wangu kuliko mtu yeyote yupo na mimi bega kwa bega ninapokuwa na furaha nahata ninapokuwa na majonzi mimi naweza sema ndo mwanaume wa maisha yangu naomba Mungu asije badilika nitaumia sana.Nampenda sana huyu mtu nyinyi mnamuta Nuh mimi...