ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE
![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0TL4lW4loCq36gptCdtfnqu15m6asrGmtkvLzs-JRisZRwtiVt2pocfnxhhOyn*4rca2SHgdCwx8ZkwokTz-TA/mahaba.jpg?width=650)
MARAFIKI zangu naamini mpo sawa na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku salama kabisa. Kwa upande wangu, mambo ni mazuri na nimejiandaa kikamilifu kuwapatia mada nzuri kila siku kwa ajili ya kuboresha uhusiano wetu. Leo somo letu linafikia ukingoni baada ya kudumu hapa kwa wiki tatu. Kwa bahati mbaya, wiki iliyopita sikuwepo uwanjani, nilipata dharura kidogo. Leo tunaendelea. Nimeshafafanua mengi na kujenga hoja thabiti...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK93ja1xnSkJ8GQ6qM8cdEYFQ1RWZwiTw15VZ-Yof0uw6GYSw*P4w0cHd1I6aU1NBmmCm0e6K8PV2gBigUgxYb*P/MAHABA.jpg?width=650)
ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE SAHIHI -2
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Elimu kikwazo mapambano ya ukoma
11 years ago
Habarileo24 Jan
'Kukosekana wataalamu wa elimu ya biashara ni kikwazo'
KUKOSEKANA kwa wataalamu wa elimu ya kibiashara kumetajwa kuwa changamoto kubwa inayokwamisha maendeleo ya biashara nchini. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Vyuo vya Elimu ya Biashara (CBE), Profesa Emanuel Mjema alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CBE tawi jipya la Mbeya hivi karibuni.
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu
11 years ago
MichuziMabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wJiihyzjAcU/VZ0B1dI5y8I/AAAAAAAHnuI/XbREQWwYHlU/s72-c/unnamedN.jpg)
BENKI M YAZIDI KUPATA MAFANIKIO, RIPOTI YA FEDHA YA ROBO YA PILI YA MWAKA YATOLEWA
Benki hiyo ambayo hivi karibuni ilijipatia tuzo ya Benki bora ya biashara Tanzania kwa mwaka 2015 iliyotolewa na International Banker nchini Uingereza, imepata faida kufikia Tshs. 11.51Billioni kabla ya kodi katika miezi sita ya mwanzo wa mwaka...
10 years ago
Habarileo05 Oct
Jk aagiza mafanikio elimu kuimarishwa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi nchini kuimarisha mambo yote yaliyofanikiwa na kutatua matatizo kwenye maeneo yenye matatizo.
10 years ago
Bongo519 Jan
H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Global Education Link (GEL) yazidi kupata mafanikio ya kusafirisha wananfunzi wapatao 70 nchini China
Mapema jana Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi waliweza kusafirisha wanafunzi wapatao 70 kwenda nchini China kwa ajili ya masoma. Akizungumza Mkurugeni wa GEL, Abdulmaliki Mollel alisema kuwa wanamshukru Mungu kwa kuendelea kuwafungulia milango ya kuendelea kupokea wanafunzi wanaopenda kusoma vyuo nje ya nchi.
Pichani: inawaonyesha wakiwa tayari katika mstari wa kukaguliwa ili waweze kuanza safari yao ya kwenda nchini China kimasomo.
Mzazi...