Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BENKI M YAZIDI KUPATA MAFANIKIO, RIPOTI YA FEDHA YA ROBO YA PILI YA MWAKA YATOLEWA

Benki M, inayojulikana kimataifa na ambayo ipo katika benki 10 kubwa hapa nchini, imepata faida ya zaidi ya asilimia 25 katika faida kabla ya kodi kwenye nusu ya kwanza ya mwaka huu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana. 
Benki hiyo ambayo hivi karibuni ilijipatia tuzo ya Benki bora ya biashara Tanzania kwa mwaka 2015 iliyotolewa na International Banker nchini Uingereza, imepata faida kufikia Tshs. 11.51Billioni kabla ya kodi katika miezi sita ya mwanzo wa mwaka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

GLOBAL EDUCTION LINK (GEL) YAZIDI KUPATA MAFANIKIO YA KUSAFIRISHA WANANFUNZI WAPATAO 70 NCHINI CHINA

Mapema jana Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi waliweza kusafirisha wanafunzi wapatao 70 kwenda nchini China kwa ajili ya masoma. Akizungumza Mkurugeni wa GEL, Abdulmaliki Mollel alisema kuwa wanamshukru Mungu kwa kuendelea kuwafungulia milango ya kuendelea kupokea wanafunzi wanaopenda kusoma vyuo nje ya nchi. Pichani: inawaonyesha  wakiwa tayari katika mstari wa kukaguliwa ili waweze kuanza safari yao ya kwenda nchini China kimasomo.          ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Global Education Link (GEL) yazidi kupata mafanikio ya kusafirisha wananfunzi wapatao 70 nchini China

IMG_2121

IMG_2144

Mapema jana Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi waliweza kusafirisha wanafunzi wapatao 70 kwenda nchini China kwa ajili ya masoma. Akizungumza Mkurugeni wa GEL, Abdulmaliki Mollel alisema kuwa wanamshukru Mungu kwa kuendelea kuwafungulia milango ya kuendelea kupokea wanafunzi wanaopenda kusoma vyuo nje ya nchi.

Pichani: inawaonyesha  wakiwa tayari katika mstari wa kukaguliwa ili waweze kuanza safari yao ya kwenda nchini China kimasomo.

IMG_2138

Mzazi...

 

9 years ago

Michuzi

Rasilimali za Benki M zaongezeka katika robo ya tatu ya mwaka 2015

Benki M leo hii imetangaza ripoti yake ya fedha katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka huu wa 2015, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency leo hii.
Akizungumza katika mkutano huo, Naibu mkurugenzi mkuu wa benki hiyo Bi. Jacqueline Woiso alisema kuwa kwa upande wa rasilimali, mizania ya benki imeendelea kukua kwa asilimia 19% kufikia bilioni 823.43 bilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2015, kutoka sh 689 bilioni za mwezi December 2014. Hiki ndio...

 

5 years ago

CCM Blog

BARAZA LA MADIWANI LA MANISPAA YA UBUNGO LAFANYA KIKAO CHAKE CHA KAWAIDA CHA ROBO YA PILI YA MWAKA 2019/20

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Beatrice Dominic akifungua Kikao cha Baraza la kawaida la robo ya pili ya mwaka wa fedha ya mwaka 2019/2020 la Madiwani wa Manispaa hiyo ambacho kimefanyika leo katika ukumbi uliopo Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Luguruni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kikao hicho, Meya wa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Beatrice Dominic na Meya wa Manispaa hiyo wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Diamond Trust (DTB) yatangaza mafanikio yake makubwa kwa nusu mwaka wa 2014

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Diamond Trust (DTB),Bwa.Viju Cherian akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani),Mapema leo ndani ya moja ya ukumbi wa mikutano Serena Hotel jijini Dar kuhusiana na ripoti ya nusu mwaka wa 2014 kuhusu utendaji wa benki hiyo kwa ongezeko kubwa la faida kabla yakodi (profit before Tax (PBT) ya sh.billioni 10.3 ikiwa ni  asilimia 38 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka 2013 sambamba na mafanikio makubwa iliyoyapata benki hiyo.
Bwa.Viju alisema...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA FEDHA DUNIANI (IMF) LATOA RIPOTI NDOGO YA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI TANZANIA,BENKI KUU YATOA UFAFANUZI

SHIRIKA la Fedha duniani (IMF) limetoa taarifa ya mwenendo wa ukuaji wa uchumi kwa Tanzania na kwa mujibu wa taarifa hiyo IMF imeelzwa kufurahishwa na ukuaji wa uchumi, kupungua kwa mfumuko wa bei, kutengeneza ajira pamoja na  kuongezeka kwa uwekezaji unaofanywa na Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi katika sekta za elimu na afya.

Taarifa hiyo iliyotolewa Machi 05 mwaka huu imeeleza, timu ya  IMF wakiongozwa na Enrique Gelbard walitembelea Tanzania kuanzia Februari 20 hadi Machi 04...

 

10 years ago

Dewji Blog

PAC yajadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2012 baada ya ripoti ya CAG, kwa shirika la bima la taifa (NIC)

PIX 2

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).

PIX 4

PIX 5

Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum ahudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika Rwanda

 Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akizungumza  na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini Bw.Patrick Diamini (wa kwanza kushoto) Mjini Kigali, Rwanda. Mh.Waziri yupo Nchini Rwanda kuhudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika.

Mh.Saada M.Salum akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ya Kusini (DBSA) Bw.Patrick Diamini (wa pili kushoto) baada ya kikao kilichofanyika Mount Muhambara mjini Kigali, Rwanda. Waziri wa Fedha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mikutano ya mwaka ya kundi la Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa yaanza rasmi nchini Lima

IMG_4085

Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali wa katikati akiwa pamoja na Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu kushoto na Bi. Natujwa Mwamba Naibu Gavana wa Benki kuu ya Tanzania kulia, wakiwa katika mkutano wa chombo kinachotoa mafunzo ya kusimamia mambo ya uchumi (MEFMI) nchini Peru – Lima. ( Picha na Eva Valerian, Peru – Lima).

Mikutano ya mwaka ya Bodi ya Magavana ya Shirika la fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia kwa mwaka 2015...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani