Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE SAHIHI -2

BILA shaka wapenzi wasomaji wangu mtakuwa wazima wa afya njema na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku kama kawaida. Kama una mushkeli kidogo, usijali, mambo yatakuwa sawa. Rafiki zangu, naandika mada hii nikiwa hapa Singida. Bado tunaendelea na somo letu ambalo lazima nikiri kuwa lina changamoto nyingi sana katika kuelewa. Ndugu zangu, najua ni somo gumu kidogo kueleweka lakini tutaenda sawa. Subiri hapohapo. Wiki iliyopita...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE

MARAFIKI zangu naamini mpo sawa na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku salama kabisa. Kwa upande wangu, mambo ni mazuri na nimejiandaa kikamilifu kuwapatia mada nzuri kila siku kwa ajili ya kuboresha uhusiano wetu. Leo somo letu linafikia ukingoni baada ya kudumu hapa kwa wiki tatu. Kwa bahati mbaya, wiki iliyopita sikuwepo uwanjani, nilipata dharura kidogo. Leo tunaendelea. Nimeshafafanua mengi na kujenga hoja thabiti...

 

9 years ago

StarTV

Madiwani watakiwa kupata elimu sahihi ya utendaji

Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie ametaka madiwani kupewa elimu sahihi juu ya mamlaka yao kiutendaji kwa lengo la kufahamu nafasi hiyo hatua itakayowawezesha kuwatumikia wananchi kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo.

Akizungumza wakati wa kukabidhi vyeti kwa madiwani 37 wa jimbo la Geita na Busanda amesema mara kadhaa kumekuwa na muingiliano wa majukumu baina ya watendaji na madiwani hatua inayoleta mkwaruzano unaoathiri shughuli za kimaendeleo hivyo ni vyema wakapewa elimu hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu sahihi za kufanya biashara kwa mafanikio

Tumekuwa tukisoma na hata kusikia mazungumzo ya kawaida na kwenye vyombo vya habari juu ya ndoto za wajasiriamali. Baadhi yao wamekuwa wakisema wanataka kuwa kama mfanyabiashara fulani maarufu kutokana na biashara wanazozifanya.

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu kikwazo mapambano ya ukoma

Asilimia 11 ya wagonjwa wa ukoma wanaokwenda hospitali na vituo vya afya kwa uchunguzi na kuanza matibabu, wanakuwa tayari wamepata ulemavu wa kudumu.

 

11 years ago

Habarileo

'Kukosekana wataalamu wa elimu ya biashara ni kikwazo'

KUKOSEKANA kwa wataalamu wa elimu ya kibiashara kumetajwa kuwa changamoto kubwa inayokwamisha maendeleo ya biashara nchini. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Vyuo vya Elimu ya Biashara (CBE), Profesa Emanuel Mjema alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CBE tawi jipya la Mbeya hivi karibuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu

Jina la Madaraka Kilangi (52) kwa wenye malori makubwa aina ya Scania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini lipo mdomoni.

 

10 years ago

GPL

MNAFANYA KAZI OFISI MOJA; NI SAHIHI MUME KUMPA MKE FEDHA ZA MATUMIZI?

WAPENDWA wasomaji wetu, wiki iliyopita tulikuwa na mada ya Dear, Mpenzi maneno yasiyokuwa na maana tena! Naamini wengi wenu mliinjoi kwani mada ilijitosheleza. Nawashukuru sana wale walionipigia simu kunipongeza, lakini hata wale walionikosoa, nilichukua yale yaliyostahili. Wiki hii hatuko mbali na familia, mada yetu inasema; mke, mume wanafanya kazi ofisi moja. Je, ni sahihi mume kumpa mkewe fadha za matumizi? Twende pamoja...
...

 

11 years ago

Mwananchi

Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa

Watakombolewa na Ulimwengu mzima unatambua kwamba hakuna nchi iliyowahi kuendelea bila wananchi wake kuwa na elimu. Maendeleo yote yametokana na elimu sahihi iliyojaa maarifa, ubunifu, uwezo mkubwa wa kufikiri na kuvumbua dhana mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakombolewa na elimu sahihi siyo siasa

Ulimwengu mzima unatambua kwamba hakuna nchi iliyowahi kuendelea bila wananchi wake kuwa na elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani