Madiwani watakiwa kupata elimu sahihi ya utendaji
Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie ametaka madiwani kupewa elimu sahihi juu ya mamlaka yao kiutendaji kwa lengo la kufahamu nafasi hiyo hatua itakayowawezesha kuwatumikia wananchi kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vyeti kwa madiwani 37 wa jimbo la Geita na Busanda amesema mara kadhaa kumekuwa na muingiliano wa majukumu baina ya watendaji na madiwani hatua inayoleta mkwaruzano unaoathiri shughuli za kimaendeleo hivyo ni vyema wakapewa elimu hiyo...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK93ja1xnSkJ8GQ6qM8cdEYFQ1RWZwiTw15VZ-Yof0uw6GYSw*P4w0cHd1I6aU1NBmmCm0e6K8PV2gBigUgxYb*P/MAHABA.jpg?width=650)
ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE SAHIHI -2
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NkjbzwV62zg/VZr5f8CDRRI/AAAAAAAHnZs/tVU7U7jMXm4/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MADIWANI ULANGA WAPONGEZWA KWA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA MAPATO.
11 years ago
MichuziMabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
9 years ago
Habarileo08 Dec
Madiwani watakiwa kufuata kasi ya Magufuli
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga vijijini kimewataka madiwani wote kutofanya kazi kwa mazoea na kwenda sambamba na kasi ya utendaji kazi wa Dk John Magufuli.
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Madiwani watakiwa kupima afya zao
MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Joseph Muhumba, ametoa wito kwa madiwani kuchunguza afya zao kwa lengo la kubaini magonjwa yanayowakabili na kupata tiba mapema sambamba na...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Madiwani Kigoma watakiwa kushirikiana na wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Saveli Mwangasame, akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny).
Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Enock Jonas, akizungumza na madiwani baada ya kuchaguliwa katika kikao chao cha kwanza. (Picha na Emmanuel Senny).
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa. (Picha na Emmanuel Senny)
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Madiwani wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Madiwani Mbeya watakiwa kuwa wabunifu
MADIWANI nchini wameaswa kuepuka tofauti zao za kisiasa, badala yake kuwa wabunifu wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha wanaleta maendeleo katika halmashauri zao. Mjumbe wa Kamati Tendajii ya Jumuiya ya...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Madiwani wa ACT watakiwa kuepuka ufisadi
9 years ago
Habarileo12 Dec
Madiwani watakiwa kufuatilia matukio ya kitaifa
MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Wilman Ndile amewataka madiwani wapya na wa zamani katika halmashauri hiyo, kufuatilia kwa karibu matukio ya kitaifa kupitia vyombo vya habari ili waweze kuendana na wakati.