Madiwani Mbeya watakiwa kuwa wabunifu
MADIWANI nchini wameaswa kuepuka tofauti zao za kisiasa, badala yake kuwa wabunifu wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha wanaleta maendeleo katika halmashauri zao. Mjumbe wa Kamati Tendajii ya Jumuiya ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wataalam watakiwa kuwa wabunifu
Waatalamu wa Sekta za Nishati na Madini, wametakiwa kuwa wabunifu katika maandalizi na usimamizi wa miradi ili sekta hizo ziwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Wito...
9 years ago
MichuziVIJANA WATAKIWA KUWA WABUNIFU, WAJASIRIAMALI
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Vijana watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu
VIJANA nchini wametakiwa kujiamini na kuwa wabunifu kwa kuanzisha miradi ya ujasiriamali na kutumia fursa zilizopo kupiga vita tatizo la ajira.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu ya kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick alisema vijana wanapaswa kuonyesha juhudi na hamu ya kufanikiwa.
Programu hiyo ijulikanayo kama ‘Kijana Jiajiri’ inalenga kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Makamanda vijana kata watakiwa kuwa wabunifu
KAMANDA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Kalambo, Rosweeter Kasikila amewataka viongozi walioteuliwa hivi karibuni kuwa makamanda wa vijana ngazi za kata kuwa wabunifu kwa kuandaa mazingira...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mdg7W3cpkWI/Vb3tShdK9QI/AAAAAAAHtPQ/_vn1s2jUUYs/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Vijana Dar watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu na kujiajiri
10 years ago
MichuziWATHAMINI MADINI VITO WAASWA KUWA WABUNIFU
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
JAFO AUTAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUWA WABUNIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NSWX3MMtexk/XszqezXLmNI/AAAAAAALrk0/bPn3G6KjjfErEOzC-tl0Ni4hqTgreFjPQCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.54.52%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-I8y0gBhXv4o/XszqfFKLd9I/AAAAAAALrk4/IEGr8X9YOik42DvSf4K_EREXT7QJYdgwwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.56.54%2BPM.jpeg)
11 years ago
MichuziProf. Mchome awataka Watumishi wa Wizara ya Elimu kuwa Wabunifu
“Watumishi wa Wizara hii tunatakiwa tujiulize tunafanya ubunifu gani ili kuhakisha wahitimu katika ngazi mbalimbali wanapata maarifa yanayotakiwa na wanaoweza kusaidia nchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-usyPKzow0TU/XkoGyhQ4ExI/AAAAAAALdpg/Xm_kJow7ysgTMJce4PA6a5Uauu-2ECTrQCLcBGAsYHQ/s72-c/079636d8-23a2-4db4-b100-25c8c3d2e16a.jpg)
LAZIMA KUWA WABUNIFU KWENYE UKUSANYAJI WA MADUHULI -PROF. KIKULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-usyPKzow0TU/XkoGyhQ4ExI/AAAAAAALdpg/Xm_kJow7ysgTMJce4PA6a5Uauu-2ECTrQCLcBGAsYHQ/s640/079636d8-23a2-4db4-b100-25c8c3d2e16a.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula ( wa pili kushoto) akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kwenye eneo la Sinai Wilayani Mufindi kwenye ziara yake aliyoifanya Mkoani Iringa tarehe 15 Februari, 2020 yenye lengo la kukagua shughuli za uchimbaji wa madini, kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini. Kushoto ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Iringa, Mhandisi Abdulrahman Milandu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/de26728c-0cd1-43cf-a8e6-c1e8ce86b068.jpg)