LAZIMA KUWA WABUNIFU KWENYE UKUSANYAJI WA MADUHULI -PROF. KIKULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-usyPKzow0TU/XkoGyhQ4ExI/AAAAAAALdpg/Xm_kJow7ysgTMJce4PA6a5Uauu-2ECTrQCLcBGAsYHQ/s72-c/079636d8-23a2-4db4-b100-25c8c3d2e16a.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula ( wa pili kushoto) akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kwenye eneo la Sinai Wilayani Mufindi kwenye ziara yake aliyoifanya Mkoani Iringa tarehe 15 Februari, 2020 yenye lengo la kukagua shughuli za uchimbaji wa madini, kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini. Kushoto ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Iringa, Mhandisi Abdulrahman Milandu.Mmoja wa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika machimbo ya dhahabu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziProf. Mchome awataka Watumishi wa Wizara ya Elimu kuwa Wabunifu
“Watumishi wa Wizara hii tunatakiwa tujiulize tunafanya ubunifu gani ili kuhakisha wahitimu katika ngazi mbalimbali wanapata maarifa yanayotakiwa na wanaoweza kusaidia nchi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K2whWUoniLg/VcNxy9V5JdI/AAAAAAAHurE/mRJalnpi_HU/s72-c/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
Madini kanda ya Kusini yashika kasi ukusanyaji maduhuli
![](http://4.bp.blogspot.com/-K2whWUoniLg/VcNxy9V5JdI/AAAAAAAHurE/mRJalnpi_HU/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jLMa6-szgCY/VcNxy21461I/AAAAAAAHurI/aiRcMMiUPFE/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eCFTtYgiwCE/Xm29abyyaiI/AAAAAAALjsQ/qMB9fRIyiz0EBTWHCttQfTpPRw4iUMfmQCLcBGAsYHQ/s72-c/44a4ada5-ff85-4eb5-82a1-e10105da1f98.jpg)
MKOA WA GEITA WAPONGEZWA KWA KUWA WABUNIFU KWENYE MIUNDOMBINU YA ELIMU
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli amefurahishwa na ubunifu wa kutumia tofali mfungamano (Interlock) kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa katika kukabiliana na mrundikano wa wanafunzi katika shule za Mkoa wa Geita.
Mweli ameonyesha furaha yake wakati wa ziara ya kikazi Mkoani humo iliyokua na lengo la kukagua miundombinu ya Elimu iliyojengwa na inayoendelea kujengwa pamoja na kupokea changamoto za walimu na kuzitolea ufafanuzi.
Akiwa Mkoani Geita Mweli...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wataalam watakiwa kuwa wabunifu
Waatalamu wa Sekta za Nishati na Madini, wametakiwa kuwa wabunifu katika maandalizi na usimamizi wa miradi ili sekta hizo ziwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Wito...
9 years ago
MichuziVIJANA WATAKIWA KUWA WABUNIFU, WAJASIRIAMALI
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Vijana watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu
VIJANA nchini wametakiwa kujiamini na kuwa wabunifu kwa kuanzisha miradi ya ujasiriamali na kutumia fursa zilizopo kupiga vita tatizo la ajira.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu ya kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick alisema vijana wanapaswa kuonyesha juhudi na hamu ya kufanikiwa.
Programu hiyo ijulikanayo kama ‘Kijana Jiajiri’ inalenga kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Madiwani Mbeya watakiwa kuwa wabunifu
MADIWANI nchini wameaswa kuepuka tofauti zao za kisiasa, badala yake kuwa wabunifu wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha wanaleta maendeleo katika halmashauri zao. Mjumbe wa Kamati Tendajii ya Jumuiya ya...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Makamanda vijana kata watakiwa kuwa wabunifu
KAMANDA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Kalambo, Rosweeter Kasikila amewataka viongozi walioteuliwa hivi karibuni kuwa makamanda wa vijana ngazi za kata kuwa wabunifu kwa kuandaa mazingira...
10 years ago
MichuziWATHAMINI MADINI VITO WAASWA KUWA WABUNIFU