Madini kanda ya Kusini yashika kasi ukusanyaji maduhuli
![](http://4.bp.blogspot.com/-K2whWUoniLg/VcNxy9V5JdI/AAAAAAAHurE/mRJalnpi_HU/s72-c/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
Kamishna Msaidizi wa Madini, kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka akiangalia vipeperushi mbalimbali mara alipotembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini katika Maonesho ya Wakulima (NaneNane) katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Ofisa Madini , Kasuhu Warioba (wa pili kulia) akiwa katika banda la Wizara ya Nishati na Madini katika Maonesho ya Wakulima (NaneNane) yanayoendelea katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi. Wa kwanza kulia ni Ephraim Mushi wa Kitengo cha Mazingira,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-usyPKzow0TU/XkoGyhQ4ExI/AAAAAAALdpg/Xm_kJow7ysgTMJce4PA6a5Uauu-2ECTrQCLcBGAsYHQ/s72-c/079636d8-23a2-4db4-b100-25c8c3d2e16a.jpg)
LAZIMA KUWA WABUNIFU KWENYE UKUSANYAJI WA MADUHULI -PROF. KIKULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-usyPKzow0TU/XkoGyhQ4ExI/AAAAAAALdpg/Xm_kJow7ysgTMJce4PA6a5Uauu-2ECTrQCLcBGAsYHQ/s640/079636d8-23a2-4db4-b100-25c8c3d2e16a.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula ( wa pili kushoto) akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kwenye eneo la Sinai Wilayani Mufindi kwenye ziara yake aliyoifanya Mkoani Iringa tarehe 15 Februari, 2020 yenye lengo la kukagua shughuli za uchimbaji wa madini, kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini. Kushoto ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Iringa, Mhandisi Abdulrahman Milandu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/de26728c-0cd1-43cf-a8e6-c1e8ce86b068.jpg)
9 years ago
MichuziMAFUNZO KUHUSU HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO YAANZA RASMI KANDA YA KUSINI
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mapigano yashika kasi Syria
9 years ago
Habarileo19 Nov
Bomoabomoa Dar yashika kasi
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishirikiana na Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana iliendesha bomoabomoa ya nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi katika Manispaa hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Maandalizi TFCA 2013 yashika kasi
MAANDALIZI ya hafla ya utoaji tuzo kwa makocha wa soka Tanzania ‘Tanzania Football Coaches Awards kwa mwaka jana (TFCA 2013), zinazotarajiwa kutolewa mapema Machi 2014 jijini Dar es Salaam, yanaendelea...
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Michauno ya vijana Kriket yashika kasi
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Kesi ya Suma JKT yashika kasi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imesema Februari 5, mwaka huu itatoa uamuzi wa kuwaona Kanali wa Jeshi la Kujenga Taifa, Ayoub Mwakang’ata na wenzake wanaokabiliwa na makosa...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mauaji ya watuhumiwa yashika kasi Mbeya
UTAMADUNI mbovu wa kujichukulia sheria mikononi umezidi kushika kasi mkoani Mbeya baada ya watu wawili kuuawa juzi katika matukio mawili tofauti.
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Vita dhidi ya ujangili yashika kasi
NA WILLIAM SHECHAMBO
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili nchini, zimechukua sura mpya baada ya kukabidhiwa helkopta na Taasisi ya Howard Buffet Foundation ya Marekani, kwa ajili ya shughuli hiyo.
Helikopta hiyo ni moja kati ya ahadi alizowahi kuzitoa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa serikali, kama jitihada zinazofanywa na wizara yake kwa kushirikiana na wadau katika kuhifadhi wanyamapori na maliasili.
Makabidhiano ya helikopta hiyo yalifanyika...