Jk aagiza mafanikio elimu kuimarishwa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi nchini kuimarisha mambo yote yaliyofanikiwa na kutatua matatizo kwenye maeneo yenye matatizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Dec
Waziri aagiza kuimarishwa bandari ya Mkoani Pemba
WAZIRI wa Mawasiliano na Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Juma Duni Haji amelitaka Shirika la Bandari kuimarisha bandari ya Mkoani Pemba ambayo imetangazwa kuwa lango kuu la kiuchumi.
11 years ago
Habarileo28 Jun
Ataka elimu dhidi ya ukatili kuimarishwa
MWENYEKITI wa Umoja wa Wawakilishi wanawake (UWAWAZA) Mgeni Hassan Juma amezitaka asasi za kiraia kufanya kazi ya kutoa elimu kwa wananchi katika masuala mbalimbali ikiwemo ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia.
11 years ago
Habarileo12 Feb
Aagiza wakaguzi wa elimu kuongeza bidii
Wakaguzi wa Wizara ya Elimu kisiwani Pemba wametakiwa kuongeza bidii, kuhakikisha kwamba wanafuatilia maendeleo ya walimu wakuu katika shule zote na kuongeza kiwango cha ufaulu.
10 years ago
Habarileo23 Jun
Elimu, afya yapaisha mafanikio ya Serikali
SERIKALI imesema imepata mafanikio makubwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Sekta ya Afya na Elimu katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na hiyo ni ishara nzuri ya kufikia lengo la uchumi wa kati na endelevu ifikapo mwaka 2025.
11 years ago
Mwananchi27 May
Tunayapimaje mafanikio katika sekta ya elimu?
11 years ago
GPL
ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Sera ya elimu ni mwelekeo mpya wa mafanikio
Na Markus Mpangala
TANGU kutangazwa kwa mpango mpya wa elimu kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na suala hilo. Baadhi walikuwa wakishangazwa na mpango huo lakini wakakosa hoja za msingi kukosoa zaidi ya malalamiko ya kawaida na yaliyozoeleka.
Wakosoaji hawajatoa njia mbadala wala hawataki kuona mambo mazuri yaliyobuniwa. Binafsi ninadhani ni sahihi kubadili muundo wa elimu ambao kwa namna moja ama nyingine unatusaidia kuendelea kutumia nguvu za ujana kwa kutafuta maarifa zaidi kuliko...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Elimu ya afya chanzo cha mafanikio
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
WAMA yajivunia mafanikio katika sekta ya elimu
Mke wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.
Taasisi ya WAMA Foundation imefanikiwa kupanua fursa za elimu kwa mtoto wa kike kwa mwaka 2014.
Hayo yamesemwa na Mke wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete wakati Akiongea na wenza wa mabalozi kutoka nchi mbalimbali katika ghafla fupi ya kuukaribisha mwaka mpya 2015 iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam,
Mama Salma alisema kuwa baadhi ya mafanikio yaliyofikiwa na Taasisi ya WAMA ni kukamilika...