Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ataka elimu dhidi ya ukatili kuimarishwa

MWENYEKITI wa Umoja wa Wawakilishi wanawake (UWAWAZA) Mgeni Hassan Juma amezitaka asasi za kiraia kufanya kazi ya kutoa elimu kwa wananchi katika masuala mbalimbali ikiwemo ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hatua dhidi ya Ebola kuimarishwa

Kiwango cha maambukizi ya virusi vya Ebola yanaonekana kuwa makubwa kuliko ilivyokadiriwa,vifo vyafikia 1,069.

 

10 years ago

Habarileo

Vita dhidi ya ugaidi kuimarishwa

Rais Jakaya KikweteLICHA ya jeshi la polisi kuwakamata watuhumiwa 84 wa matukio ya kigaidi nchini na 17 kati yao kufunguliwa mashitaka, Rais Jakaya Kikwete amelitaka jeshi hilo kuendelea kujipanga kukabiliana na aina yoyote ya tishio la kigaidi, huku akisema Serikali itaendelea kuliwezesha katika kukabiliana nao.

 

10 years ago

Habarileo

Jk aagiza mafanikio elimu kuimarishwa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi nchini kuimarisha mambo yote yaliyofanikiwa na kutatua matatizo kwenye maeneo yenye matatizo.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MHAGAMA ATAKA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA KITALU NYUMBA KUIMARISHWA USIMAMIZI NA UENDESHAJI

Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amewataka waratibu na wadau wa Programu wa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa kutumia teknolojia ya Kitalu Nyumba “Greenhouse” ikiwemo Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya Viwanda na Biashara, Wizara ya Kilimo, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na wakandarasi ambao walijenga vitalu nyumba kuimarisha usimamizi na uendeshaji...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Katiba ikomeshe ukatili dhidi ya wanawake

MTANDAO wa Wanawake na Katiba umeainisha mambo mbalimbali ambayo ni muhimu yazingatiwe katika Katiba Mpya. Maeneo hayo yameainishwa na kutolewa ufafanuzi kama ifuatavyo; Haki za wanawake kwenye Katiba Mpya zipewe kipaumbele stahiki:  Mtandao wa Wanawake unasisitiza haki za msingi za wanawake ziendelee kubainishwa zaidi katika Tamko la Msingi wa Haki za Binadamu (Bill of Rights), ili wanawake waendelee kupata haki sawa za uraia, siasa, uchumi  na ustawi wa jamii zinazolindwa kikatiba. Katiba...

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO

Viongozi wa vyama vya watu wenye ulemevu wakiwa meza kuu.
Waandishi wa habari wakiwa na walemavu wa ngozi 'Albino'.
Wanahabari wakichukua taarifa za tamko la vyama vya walemavu…

 

10 years ago

Dewji Blog

Unyanyapaa, Ukatili na Mauaji dhidi ya Albinism..Imetosha!

IMG_0904

Balozi wa kujitolea wa kampeni ya mapambano dhidi ya mauaji ya albino, Henry Mdimu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari (hawapo pichani) wengine ni wajumbe wa kamati hiyo. Kushoto ni Monica Joseph na Kulia ni Masoud Kipanya.

IMG_0966

Baadhi ya wa Wajumbe wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mkutano wao  na waandishi wa habari.

..Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo hivi viovu

Na Andrew Chale wa Modewji blog

“Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo viovu wanavyofanyiwa ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ushahidi wakwamisha kesi dhidi ya ukatili kwa albino

image004 (8)

Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari jamii na Mkufunzi Bi Rose Haji Mwalimu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi kijiji cha Usagara, wilayani Misungwi mkoani Mwanza hivi karibuni.

Na Modewjiblog team, Mwanza

Tabia ya watu kukwepa kutoa ushahidi mahakamani ni sababu mojawapo ya wahalifu wa mauaji ya albino kutotiwa hatiani na kuachiwa huru.

Hayo yameelezwa katika warsha zilizoendeshwa mfululizo wilayani Misungwi, Kahama na Bariadi za ushirikishwaji wa jamii katika kuzuia na kutokomeza...

 

10 years ago

GPL

POLISI WA MAREKANI WAENDELEZA UKATILI DHIDI YA RAIA WEUSI

Harlena Michelle Cooks alipokuwa akisukumwa na polisi hao (hawapo pichani). Waandamanaji wakipinga ubaguzi wa rangi. Video mpya imeenea mitandaoni ikiwaonesha Maofisa polisi wawili wa Kimarekani mjini Barstow huko California, Marekani wakimsukuma chini mwanamke mwenye ujauzito wa miezi 8 mwenye asili ya Kiafrika huku mikono yake ikiwa imefungwa kamba nyuma ya mgongo. Tukio hilo linadaiwa kutokea hivi karibuni wakati polisi hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani