Ataka elimu dhidi ya ukatili kuimarishwa
MWENYEKITI wa Umoja wa Wawakilishi wanawake (UWAWAZA) Mgeni Hassan Juma amezitaka asasi za kiraia kufanya kazi ya kutoa elimu kwa wananchi katika masuala mbalimbali ikiwemo ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Hatua dhidi ya Ebola kuimarishwa
10 years ago
Habarileo24 Mar
Vita dhidi ya ugaidi kuimarishwa
LICHA ya jeshi la polisi kuwakamata watuhumiwa 84 wa matukio ya kigaidi nchini na 17 kati yao kufunguliwa mashitaka, Rais Jakaya Kikwete amelitaka jeshi hilo kuendelea kujipanga kukabiliana na aina yoyote ya tishio la kigaidi, huku akisema Serikali itaendelea kuliwezesha katika kukabiliana nao.
10 years ago
Habarileo05 Oct
Jk aagiza mafanikio elimu kuimarishwa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi nchini kuimarisha mambo yote yaliyofanikiwa na kutatua matatizo kwenye maeneo yenye matatizo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_3ehNVYIol8/Xmj7csL9zbI/AAAAAAAC8Rc/-unosEn8oYIsqi9sW8YT0ToiXVD-_X32wCLcBGAsYHQ/s72-c/R1.jpg)
WAZIRI MHAGAMA ATAKA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA KITALU NYUMBA KUIMARISHWA USIMAMIZI NA UENDESHAJI
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Katiba ikomeshe ukatili dhidi ya wanawake
10 years ago
GPLWALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Unyanyapaa, Ukatili na Mauaji dhidi ya Albinism..Imetosha!
Balozi wa kujitolea wa kampeni ya mapambano dhidi ya mauaji ya albino, Henry Mdimu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari (hawapo pichani) wengine ni wajumbe wa kamati hiyo. Kushoto ni Monica Joseph na Kulia ni Masoud Kipanya.
Baadhi ya wa Wajumbe wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mkutano wao na waandishi wa habari.
..Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo hivi viovu
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo viovu wanavyofanyiwa ...
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
Ushahidi wakwamisha kesi dhidi ya ukatili kwa albino
Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari jamii na Mkufunzi Bi Rose Haji Mwalimu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi kijiji cha Usagara, wilayani Misungwi mkoani Mwanza hivi karibuni.
Na Modewjiblog team, Mwanza
Tabia ya watu kukwepa kutoa ushahidi mahakamani ni sababu mojawapo ya wahalifu wa mauaji ya albino kutotiwa hatiani na kuachiwa huru.
Hayo yameelezwa katika warsha zilizoendeshwa mfululizo wilayani Misungwi, Kahama na Bariadi za ushirikishwaji wa jamii katika kuzuia na kutokomeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgXVCqGfZ-YoOkeHFCX9y8n4eo7ZJm7Bqmb-bQsZ9IqommDH8LquvZD2djuEbpGGP4m4De8YjlPbD6xwxW*2vOi/copspregnantwoman.jpg?width=650)
POLISI WA MAREKANI WAENDELEZA UKATILI DHIDI YA RAIA WEUSI