Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLISI WA MAREKANI WAENDELEZA UKATILI DHIDI YA RAIA WEUSI

Harlena Michelle Cooks alipokuwa akisukumwa na polisi hao (hawapo pichani). Waandamanaji wakipinga ubaguzi wa rangi. Video mpya imeenea mitandaoni ikiwaonesha Maofisa polisi wawili wa Kimarekani mjini Barstow huko California, Marekani wakimsukuma chini mwanamke mwenye ujauzito wa miezi 8 mwenye asili ya Kiafrika huku mikono yake ikiwa imefungwa kamba nyuma ya mgongo. Tukio hilo linadaiwa kutokea hivi karibuni wakati polisi hao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MAANDAMANO MAKUBWA KUFUATIA JINAI ZA POLISI WA MAREKANI DHIDI YA WAMAREKANI WEUSI

Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusiUbaguzi wa kijinsia na ubaguzi wa rangi hususan dhidi ya watu weusi daima ni mambo ambayo yamekuwa yakilaaniwa katika jamii ya Marekani.Pamoja na hayo suala ambalo katika miaka ya hivi karibuni limekuwa likiakisiwa zaidi, ni ukatili usio na ukomo wala mpaka wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika jambo ambalo limekuwa likitia huzuni kila siku ndani ya nchi hiyo. Katika malalamiko makubwa kufuatia kuuawa mikononi mwa polisi mzungu, Mmarekani mmoja mweusi asiye na...

 

5 years ago

CCM Blog

POLISI NA RAIA WAKIZUNGU WAOSHA WATU WEUSI MIGUU

  Hii imetokea huko North Carolina ambapo Polisi pamoja na raia wa kizungu wamewaosha miguu raia wenye asili ya kiafrika kama ishara ya kuwaomba msamaha kutokana na kile kinachoendelea kuhusu ubaguzi wa watu weusi.

 

5 years ago

CCM Blog

MAANDAMANO YA KULAANI UKATILI WA POLISI YA MAREKANI YAFANYIKA KENYA NA NIGERIA

Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, NigeriaMiji mikuu ya Kenya na Nigeria jana ilishuhudia maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na mauaji ya George Floyd, raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika aliyeuliwa kikatili na polisi mmoja mzungu katika mji wa Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani wiki iliyopita.Katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi waandamanaji walikusanyika nje ya ubalozi wa Marekani jijini hapo huku wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali za kulaani jinai hiyo. Baadhi ya mabango hayo yalikuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi waua raia St Louis nchi Marekani

Vurugu zimetokea katika mji wa Missouri nchini Marekani kufuatia kifo cha kijana mmoja Mmarekani mweusi kupigwa risasi na polisi.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Vifo 11 vilivyosababisha maandamano dhidi ya polisi Marekani

Kifo cha George Floyd, ambacho video zake zilisambaa zikionyesha polisi akimkaba shingoni mwake na baada ya muda mfupi akafariki. Raia weusi wako katika hatari ya kuuwawa mara tatu zaidi ya watu weupe, takwimu zinaeleza.

 

10 years ago

Michuzi

MABOSS WA AIRTEL TANZANIA WAENDELEZA MAPAMBANO DHIDI YA FISTULA

Wakuu wa makampuni tofauti pamoja na wakurugenzi wa vitengo mbali mbali vya kampuni ya Airtel Tanzania wameendelea kuonyesha kuguswa kwa kushiriki kutimiza shinikizo toka kwa Mkurugenzi mkuu wa Artel Tanzania alilolitoa wiki moja iliyopita kuhamasisha mapambano dhidi ya Fistula kwa akina mama kwa kuchangisha pesa zitakazotumika kusaidia shughuli mbalimbali wakati wa matibabu kwa wale waliopatwa na tatizo hilo Angalia video hizi kuona kila mmoja alivyofanya mara baada ya kuguswa na kujitoa...

 

9 years ago

MillardAyo

Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26

Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]

The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA WAENDELEZA MAFUNZO SHULE ZA MSINGI JIJINI

Ofisa polisi wa Usalama Barabarani (CPL) Rashid Msuya akiwafundisha wanafunzi wa Shule ya Msingi Mapambano Sinza jijini Dar es Salaam jinsi ya kuvuka barabara kwa kutumia alama za barabarani, ikiwa ni mwendelezo wa  kuadhimisha siku ya Afya na Usalama kazini Duniani. Hafla hiyo iliandaliwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika shule hapo. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Msasani A na B ya jijini Dar es Salaam,wakimsikiliza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya weusi yaendelea Marekani

Polisi mjini Cleveland nchini Marekani, wameachilia video inayoonesha mauaji ya kijana wa miaka kumi na miwili akipigwa risasi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani