POLISI NA RAIA WAKIZUNGU WAOSHA WATU WEUSI MIGUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-fX-H-SlJzmM/Xt8abyy23PI/AAAAAAAAVRk/o1Gro4D9gCEjzOWjbmNhSzxPvToV2IS6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PRC_154000359.jpg)
Hii imetokea huko North Carolina ambapo Polisi pamoja na raia wa kizungu wamewaosha miguu raia wenye asili ya kiafrika kama ishara ya kuwaomba msamaha kutokana na kile kinachoendelea kuhusu ubaguzi wa watu weusi.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgXVCqGfZ-YoOkeHFCX9y8n4eo7ZJm7Bqmb-bQsZ9IqommDH8LquvZD2djuEbpGGP4m4De8YjlPbD6xwxW*2vOi/copspregnantwoman.jpg?width=650)
POLISI WA MAREKANI WAENDELEZA UKATILI DHIDI YA RAIA WEUSI
Harlena Michelle Cooks alipokuwa akisukumwa na polisi hao (hawapo pichani). Waandamanaji wakipinga ubaguzi wa rangi. Video mpya imeenea mitandaoni ikiwaonesha Maofisa polisi wawili wa Kimarekani mjini Barstow huko California, Marekani wakimsukuma chini mwanamke mwenye ujauzito wa miezi 8 mwenye asili ya Kiafrika huku mikono yake ikiwa imefungwa kamba nyuma ya mgongo. Tukio hilo linadaiwa kutokea hivi karibuni wakati polisi hao...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
‘Mijimama’ inavyoingiza waosha kucha, miguu katika hatari ya kuambukizwa VVU
>Utengenezaji wa kucha na uoshaji miguu ni biashara inayokuwa kwa kasi hasa maeneo ya mijini ambapo wanawake wengi wanahusudu na kujihusisha na masuala ya urembo.
11 years ago
Michuzi13 Feb
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 RAIA WA NCHINI KONGO BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI .
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 WOTE RAIA NA WAKAZI WA SANGE – BUKAVU NCHINI KONGO WAKIONGOZWA NA HESABU LUHIGITA (16) BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI. WATUHUMIWA HAO WALIKAMATWA MNAMO TAREHE 12.02.2014 MAJIRA YA SAA 13:00HRS MCHANA HUKO KATIKA KIJIJI CHA IKUMBILO WILAYA YA ILEJE WAKIWA WANASAFIRISHWA KWENYE GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI T.136 AQC AINA YA FUSO LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA MUSSA DISI (35) NA MATEO KADUMA (30) WOTE WAKAZI WA ISONGOLE AMBAO PIA...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Je, Trump ameiwezeshaje jamii ya watu weusi ?
Rais Trump asema amefanya mengi kwa jamii ya watu weusi kuliko rais mwingine yeyote katika historia ya Marekani. Je, madai hayo ni kweli?
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Polisi afutwa kazi kwa kudhulumu weusi
Polisi mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada kuonekana akihangaisha kundi la vijana weusi
5 years ago
CCM Blog30 May
MAANDAMANO MAKUBWA KUFUATIA JINAI ZA POLISI WA MAREKANI DHIDI YA WAMAREKANI WEUSI
![Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi](https://media.parstoday.com/image/4bv9fbe534bf5f1nuyd_800C450.jpg)
10 years ago
Bongo526 Nov
Weusi kuzindua video zao 5 mpya kwenye show ya ‘Funga mwaka la Weusi’ Jumamosi hii Dar
Familia ya Weusi inaendelea kuonesha matunda ya muungano wao, wakiwa wanaendelea na ziara ya show zao za Funga mwaka, wiki hii Weusi wanatarajia kuzindua video zao tano kwa mpigo pale Escape One, jijini Dar es salaam. Msemaji wa kundi hilo Nikki Wa Pili amezitaja video watakazozindua Jumamosi hii November 29, kuwa ni video yake ya […]
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Kinamama Tanzania wanavyowaosha watu miguu kujikimu kimaisha
Biashara ya kuosha watu miguu imeshamiri hasa wakati wa mvua ikichangiwa na miundombinu mibovu ya masoko inayosababisha matope mengi
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Je polisi na raia wapatana TZ?
Wiki hii katika Haba na Haba tunaangazia uhusiano wa jeshi la polisi na wananchi nchini Tanzania
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania