Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je polisi na raia wapatana TZ?

Wiki hii katika Haba na Haba tunaangazia uhusiano wa jeshi la polisi na wananchi nchini Tanzania

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wapambana na raia Sirari

POLISI mkoa wa Kipolisi Tarime na Rorya, wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamaji katika katika mji mdogo wa Sirari kupinga mauaji ya kijana Tandeka Ryoba Mserega. Mserega anadaiwa kuuawa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wadaiwa kuua raia

ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi arekodiwa akiwadhulumu raia Brazil

Polisi mmoja huko Brazil amerekodiwa akiwadhulumu watuhumiwa wa wizi na video hiyo kupeperushwa moja kwa moja na wanaharakai

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia

Polisi wilayani Kaliua, inadaiwa kumuua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine baada ya wananchi zaidi ya 200 kuvamia kituo kidogo cha polisi kwa lengo la kumtoa mtuhumiwa ili wajichukulie sheria mkononi.

 

10 years ago

GPL

ASKARI POLISI WASIONEE RAIA, NI HATARI!

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba. Kwanza nianze makala haya kwa kumshukuru Mungu kwa kutupa uzima leo. Ahimidiwe daima.
Baada ya kusema hayo niseme wazi kwamba nchi yetu ilitikisika tena wiki iliyopita baada ya polisi wetu kuwapiga Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake. Nchi yetu inaongozwa kwa mujibu wa sheria na kanuni, haitakuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi, raia watwangana baada ya kufumaniana

WAKAZI wawili wilayani hapa, wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga baada ya kujeruhiwa katika mapigano kati yao na askari Polisi, baada ya kumshika ugoni mmoja wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Raia wa China wakana kuhonga polisi mamilioni

>Raia Watatu wa  China, Huang Gin,  Xu Fujie na  Chen Jinzha wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wamedaiwa kutoa hongo ya Sh30.2 milioni kwa Polisi ili wasiwakamate.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi waua raia St Louis nchi Marekani

Vurugu zimetokea katika mji wa Missouri nchini Marekani kufuatia kifo cha kijana mmoja Mmarekani mweusi kupigwa risasi na polisi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari

Idadi ya washtakiwa waliofikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka saba ya mauaji ya maofisa wanne wa polisi na raia watatu katika kituo cha jeshi hilo cha Stakishari, imeongezeka hadi kufikia 10.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani