Raia wa China wakana kuhonga polisi mamilioni
>Raia Watatu wa China, Huang Gin, Xu Fujie na Chen Jinzha wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wamedaiwa kutoa hongo ya Sh30.2 milioni kwa Polisi ili wasiwakamate.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t4iLnqvdMuc/Vj41haSDaKI/AAAAAAAIE1s/YRa8wOzWVr0/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA RAIA WANNE WA NCHINI CHINA WAKIWA NA PEMBE 11 ZINAZODHANIWA ZA FARU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-t4iLnqvdMuc/Vj41haSDaKI/AAAAAAAIE1s/YRa8wOzWVr0/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xaHBQ_I_4ZU/Vj41haYYzHI/AAAAAAAIE1w/6Dxgw1VPQbs/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sI47T_2wBe0/Vj41hV_WDmI/AAAAAAAIE10/t0E5C9h_6k0/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU WANNE RAIA WA CHINA WAKIWA NA PEMBE 11 ZINAZODHANIWA ZA FARU. RAIA HAO WALIFAHAMIKA KWA MAJINA YA 1. XIAO SHAODAN (29) AKIWA NA PASSPORT NAMBA G.29624553 ILIYOTOLEWA NCHINI CHINA 2. CHEN JIANLIN (33) AKIWA NA PASSPORT NAMBA E.09800855 ILIYOTOLEWA NCHINI CHINA 3. SONG LEI (30) AKIWA NA PASSPORT NAMBA G.52064944 ILIYOTOLEWA NCHINI CHINA NA 4. HU LIANG (30) WOTE WAKAZI WA BLANTYRE NCHINI MALAWI.
WATUHUMIWA HAO WALIKAMATWA MNAMO TAREHE...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi wakana kuhusika na mauaji
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Polisi wakana mauaji migodini TZ
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Polisi wakana mauaji ya wakazi Tanzania
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Wema Ampeleka Diamond Polisi, Kisa ni Deni la Mamilioni
<span 1.6em;"="">Mwigizaji wa filamu nchini Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda kinyume makubaliano yao.
Muhusika mkuu...
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Majambazi yaua polisi, yachota mamilioni NMB Mkuranga
10 years ago
BBCSwahili29 May
Raia wa china na udanganyifu kielimu
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
RAIA WA CHINA KUFIKISHWA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s640/images.jpg)
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 11,2020 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Benjamini Kuzaga amesema mtuhumiwa amekiuka utaratibu huo Aprili 5, 2020 katika kizuizi cha Ntibili Majimoto.
"Mtuhumiwa alikuwa anaendesha gari lenye namba za...