Wema Ampeleka Diamond Polisi, Kisa ni Deni la Mamilioni
<span 1.6em;"="">Mwigizaji wa filamu nchini Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda kinyume makubaliano yao.
Muhusika mkuu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania22 Jan
Wema ampeleka Diamond Polisi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKALI wa filamu nchini na Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Diamond ampeleka Wema kimataifa
STAA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, amemtanulia wigo wa filamu mpenzi wake Wema Sepetu kwa kumuunganisha na wasanii wa Ghana ili aweze kuwika kimataifa katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrggnXjm0OElspwsz1oBZ*0MmpCGfkb-oYYhPtSAcGuzYNtxSEyrQHe11-HisjByECzCJo*fq8YhIr-j7MK*RGhNn/7.jpg)
WEMA AWA MBOGO KISA DIAMOND
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ktt5EQ2Y2yI/VME4Mt4epmI/AAAAAAAAAsE/R0J3lFVeMTE/s72-c/wema778.jpg)
Wema Sepetu Hajampeleka Diamond Mahakamani Kwa Deni La Milion 10 — Martin Kadinda Afunguka
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ktt5EQ2Y2yI/VME4Mt4epmI/AAAAAAAAAsE/R0J3lFVeMTE/s1600/wema778.jpg)
“Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani,” amesema Martin. “Kwa sababu taarifa ikishaingia kwenye social network everybody posts, kwahiyo sisi tunamtafuta nani...
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
Wema Awa Mbogo Kisa Kutajiwa Diamond
Vijimambo:Mrembo na staa wa Bongo Movie asiyekaukiwa na visa na mikasa, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu.“Heeeh! Huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond)? Sitaki kabisa kulisikia,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGg7WKFJ8drW9PExem356fMX2PkI1UAJOFQy3f-Ch-FVW6oA3u1be73xqsvpYk0If6Kh7SgeFOSEwcSChoV-MAWh/FRONTAMANI.jpg)
WEMA AANIKA KISA CHA KUMMWAGA DIAMOND
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWADbLyRA8rwFVTGuG7QtilEZuThrxHpdXD6lvnV0c91aDOLdB0OZH0NkP0Qt0ObPj35JUiYd2y6N6ET9AVSVcOP/lulu.jpg?width=650)
KISA UHUSIANO NA DIAMOND LULU, WEMA WAFIKA PABAYA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJGZqknucWiboHzLgBKtEEYKtK-1Zs7mDAgeTldK3cqCrUn056c-JhGzjfEPh8aOam1TUcMmyubokUKKuERY1A2/GPLEXCLUSIVENEWS.jpg?width=650)
WEMA ANYANG'ANYWA KILA KITU, KISA KURUDIANA NA DIAMOND
10 years ago
CloudsFM22 Jan
WEMA ADAIWA KUMPELEKA DIAMOND POLISI
MKALI wa filamu nchini na Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10. Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda kinyume makubaliano yao.
Muhusika...