Wema Awa Mbogo Kisa Kutajiwa Diamond
Vijimambo:Mrembo na staa wa Bongo Movie asiyekaukiwa na visa na mikasa, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu.“Heeeh! Huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond)? Sitaki kabisa kulisikia,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrggnXjm0OElspwsz1oBZ*0MmpCGfkb-oYYhPtSAcGuzYNtxSEyrQHe11-HisjByECzCJo*fq8YhIr-j7MK*RGhNn/7.jpg)
WEMA AWA MBOGO KISA DIAMOND
10 years ago
Bongo Movies18 Feb
Mama Kanumba Awa Mbogo, Kisa Ofisi ya Kanumba…!
KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.
Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVry75140-rr760W7L98UnTwE3Sr*pLlxWHQ92NTU5LzH1gJdZMtRD5chEPVwyWx-GD935iBgHGPK5*JVkNjVatn/WEMA.jpg)
BETHIDEI YA DIAMOND, WEMA AWA GUMZO!
11 years ago
Habarileo15 Apr
Kinana awa mbogo
KATIBU Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, amejikuta akigeuka mbogo na kuwaomba radhi wakazi wa kata ya Kirema, wilayani Mpanda mkoani Katavi, baada ya kubaini kuwa, watendaji wa Serikali wamempatia zabuni ya ujenzi wa bandari nne mkandarasi asiye na uwezo kifedha na kitaalamu.
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Waziri Mahenge awa ‘mbogo’ Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5OMGgjzKkAMNDlOIgPuvqAR7ZXeXkTXUrcuzL5gWFDSSxs04uKeJ*nRbOd4Jfu2GIQQR2bNA3*3h08ZvnACSwfM/Amanda.jpg?width=650)
AMANDA AAMBIWA ANATUMIA ARV, AWA MBOGO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGg7WKFJ8drW9PExem356fMX2PkI1UAJOFQy3f-Ch-FVW6oA3u1be73xqsvpYk0If6Kh7SgeFOSEwcSChoV-MAWh/FRONTAMANI.jpg)
WEMA AANIKA KISA CHA KUMMWAGA DIAMOND
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWADbLyRA8rwFVTGuG7QtilEZuThrxHpdXD6lvnV0c91aDOLdB0OZH0NkP0Qt0ObPj35JUiYd2y6N6ET9AVSVcOP/lulu.jpg?width=650)
KISA UHUSIANO NA DIAMOND LULU, WEMA WAFIKA PABAYA!
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Wema Ampeleka Diamond Polisi, Kisa ni Deni la Mamilioni
<span 1.6em;"="">Mwigizaji wa filamu nchini Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda kinyume makubaliano yao.
Muhusika mkuu...