BETHIDEI YA DIAMOND, WEMA AWA GUMZO!
![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVry75140-rr760W7L98UnTwE3Sr*pLlxWHQ92NTU5LzH1gJdZMtRD5chEPVwyWx-GD935iBgHGPK5*JVkNjVatn/WEMA.jpg)
Stori: Waandishi Wetu NI Gumzo! Hiyo ndiyo kauli pekee inayoweza kuakisi pati ya kuzaliwa ya supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye ametimiza umri wa miaka 25, iliyofanyika usiku wa kuamikia jana kwenye Ukumbi wa Golden Jubilee Tower (PSPF), Posta jijini Dar, Risasi Jumamosi lilikuwepo ndani ya nyumba. Supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mpenzi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycF5nrCwo-zb3*vbCQFc0sphQDwP074jO-jkk-ES-y*bMTBdZpjMKFMofJL4OICc0KcTEfJ*al6hNDha4gv0ZADX/D.jpg?width=650)
DIAMOND PLATINUMZ AWA GUMZO USIKU HUU MLIMANI CITY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrggnXjm0OElspwsz1oBZ*0MmpCGfkb-oYYhPtSAcGuzYNtxSEyrQHe11-HisjByECzCJo*fq8YhIr-j7MK*RGhNn/7.jpg)
WEMA AWA MBOGO KISA DIAMOND
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
Wema Awa Mbogo Kisa Kutajiwa Diamond
Vijimambo:Mrembo na staa wa Bongo Movie asiyekaukiwa na visa na mikasa, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu.“Heeeh! Huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond)? Sitaki kabisa kulisikia,...
10 years ago
Bongo Movies30 Nov
Wema Sepetu azua gumzo kwenye mtandao baada ya kumuita Diamond "kaka"
Huku macho na masikio ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yakiwa kwenye bunge la katiba linalojadili lile sakata la tegeta ESCROW, mwanadada Wema sepetu ameamua naye kuzua gumzo kwenye mtandao baada ya kutoa salamu ya pongezi kwa kijana Naseeb al maarufu kama Chibu dangote ama Diamond platnumz kwa ushindi wake wa tuzo 3 kwenye tuzo za Channel O MUSIC AWARDS zilizofanyika huko Afrika ya kusini akitumia neno KAKA katika sentensi yake kitu ambacho kimezua minong’ono ya hapa na pale...
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
PICHA: Kitendo ya Dada yake Diamond Kudendeka na Wema Chawa Gumzo Mtandaoni
Siku za hivi karibuni kumeibuka na mtindo mpya wa watu kulishana keki wa kutumia mdomo yaani “Kudendeka”.
Picha ya mrembo na mwigizaji wa filamu Wema Sepetu akilishwa keki kwa mdomo na dada yake Diamond, Esma imeibua mjadala mtandaoni baada ya baadhi ya watu kudai kuwa Wema anataka kumrusha roho Zari ambae awari aliandika ujumbe mtandaoni na kumuita Esma WIFI. Huku wengine wakiona kama ni kawaida kwani kwa kiasi kikubwa Wema ndio aliewawezesha Esma na Petti Man wakafunga ndoa.
Tukio hilo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEzEdRfP8J0aNpmVBQ*FfXtIKqRQjLYwMtlYE2TSgSJCw4crkN10x9NEe0D6yfoNrVJC8rJwPP5kfch0V7SZPSjV/lowasa.gif?width=650)
LOWASSA AWA GUMZO UPYA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCtsSmllP-i9fXG0oLj-MIbp9hCQ*Xi6L6eX751yjqi9hQwy4LSdpev3zFSOGnVhCwJc3Go8C2-sYrooy1VAmfJ-/Lowasa.jpg)
LOWASSA AWA GUMZO UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
9 years ago
GPLBETHIDEI YA WEMA KUFURU!
9 years ago
VijimamboBREKING NEWS: MWANA DIASPORA KUTOKA DMV AWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE