Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wakana mauaji ya wakazi Tanzania

Polisi nchini TZ wamekana madai ya ukiukaji haki za binadamu na mauaji ya wakazi wa Nyamongo eneo linalozunguka mgodi wa dhahabu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi wakana kuhusika na mauaji

Utata umegubika mazingira ya kifo cha Emmanuel Mtongori (20), Mkazi wa Kijiji cha Rung’abure wilayani Serengeti.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wakana mauaji migodini TZ

Wamekanusha madai ya mauaji ya wakazi wa eneo la Nyamongo linalozunguka mgodi wa machimbo ya dhahabu Wilayani Tarime

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Sudan Kusini wakana mauaji

Waasi nchini Sudan Kusini wamekanusha madai yaliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuwa waliwaua raia mjini Bentiu kwa misingi ya ukabila.

 

11 years ago

Mwananchi

Raia wa China wakana kuhonga polisi mamilioni

>Raia Watatu wa  China, Huang Gin,  Xu Fujie na  Chen Jinzha wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wamedaiwa kutoa hongo ya Sh30.2 milioni kwa Polisi ili wasiwakamate.

 

11 years ago

Michuzi

USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAZI WA MBEYA

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI – ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijana waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2013 na cha Sita mwaka 2014 na kuchaguliwa kufanya usalii wa kujiunga na Jeshi la Polisi inapatikana kwenye tovuti ya Polisi: www.policeforce.go.tz au wafike ofisi ya kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya iliyopo Forest jirani na Mahakama kuangalia majina yao.
Muhimu:
• Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LAKAMATA WATUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI, AKIWEMO POLISI

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne akiwemo Askari Polisi mmoja namba G.8695 PC JOHN KAIJAGE [34] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya, FOTUNATUS KAGANDE [23] Mkazi wa Iwambi, PETSON DANIEL [22] Mkazi wa Iwambi na JASTINI KAGANDE [27] Mwanafunzi St.John na Mkazi wa Iwambi kwa tuhuma za kumuua ERASTO MWALWEGO [29] Dereva Pikipiki @ Bodaboda na Mkazi wa Nzovwe.
Ni kwamba mnamo tarehe 20.06.2020 majira ya saa 21:00 Usiku huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “The...

 

10 years ago

GPL

MAUAJI YA POLISI SASA TISHIO

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa HALI ni tete! Matukio ya mauaji ya askari polisi sasa ni tishio. Hilo limebainika kufuatia Mkuu wa Kikosi cha Kupambana na Majambazi Mkoa wa Morogoro, ASP Elibariki Israel Palangyo (53) kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wenye harufu ya ugaidi, Uwazi limechimba.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1hv1WxB ...

 

10 years ago

GPL

UKWELI MAUAJI POLISI STAKISHARI

Na Timu ya Uwazi TAKRIBANI siku 9 tangu kutokea kwa uporaji wa silaha na mauaji ya askari wanne na raia watatu katika Kituo cha Polisi Stakishari jijini Dar es Salaam, moshi mweupe wa ukweli umenza kufuka. Uchunguzi na vyanzo mbalimbali vya habari wakiwemo polisi ambao hawakutaka kutajwa majina yao, umesaidia timu ya waandishi wetu kubaini jinsi tukio hilo la kinyama lilivyofanyika....habari na picha zote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani