Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi arekodiwa akiwadhulumu raia Brazil

Polisi mmoja huko Brazil amerekodiwa akiwadhulumu watuhumiwa wa wizi na video hiyo kupeperushwa moja kwa moja na wanaharakai

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Brazil kumchagua rais mpya

Raia wa Brazil wanapiga kura kumchagua rais na viongozi muhimu wa majimbo ya taifa hilo kubwa lililopo Marekani kusini.

 

10 years ago

Mtanzania

Chris Brown agombea mtoto na raia wa Brazil

chris-brown-daughter-royalty-father-700x438BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Chris Brown, ameonekana kuendelea kumgombea mtoto anayedaiwa kuwa na mgogoro wa baba sahihi kati yake na raia wa Brazil, King Ba.
Baada ya hali hiyo, Chris Brown ameonekana akifanya juhudi za kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto huyo ili atambulike kuwa ndiye baba mzazi na juhudi hizo zinafanywa na mwanasheria wake.
Juhudi hizo alizianza baada ya kusherehekea miaka 26 ya kuzaliwa kwake akiwa na mastaa mbalimbali akiwemo bondia,...

 

10 years ago

GPL

MADAI JINI KABULA AREKODIWA

Musa mateja na Imelda Mtema
SHABAAASH! Staa aliyejizolea umaarufu mkubwa kupitia Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, anadaiwa kurekodiwa mkanda wa ngono na kusambazwa katika mitandao ya kijamii, Amani linakupa stori kamili. Staa aliyejizolea umaarufu mkubwa kupitia Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’. Chanzo cha habari hii kimeeleza kwamba, tukio hilo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je polisi na raia wapatana TZ?

Wiki hii katika Haba na Haba tunaangazia uhusiano wa jeshi la polisi na wananchi nchini Tanzania

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wadaiwa kuua raia

ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wapambana na raia Sirari

POLISI mkoa wa Kipolisi Tarime na Rorya, wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamaji katika katika mji mdogo wa Sirari kupinga mauaji ya kijana Tandeka Ryoba Mserega. Mserega anadaiwa kuuawa...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia

Polisi wilayani Kaliua, inadaiwa kumuua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine baada ya wananchi zaidi ya 200 kuvamia kituo kidogo cha polisi kwa lengo la kumtoa mtuhumiwa ili wajichukulie sheria mkononi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi, raia watwangana baada ya kufumaniana

WAKAZI wawili wilayani hapa, wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga baada ya kujeruhiwa katika mapigano kati yao na askari Polisi, baada ya kumshika ugoni mmoja wa...

 

10 years ago

GPL

ASKARI POLISI WASIONEE RAIA, NI HATARI!

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba. Kwanza nianze makala haya kwa kumshukuru Mungu kwa kutupa uzima leo. Ahimidiwe daima.
Baada ya kusema hayo niseme wazi kwamba nchi yetu ilitikisika tena wiki iliyopita baada ya polisi wetu kuwapiga Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake. Nchi yetu inaongozwa kwa mujibu wa sheria na kanuni, haitakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani