Polisi arekodiwa akiwadhulumu raia Brazil
Polisi mmoja huko Brazil amerekodiwa akiwadhulumu watuhumiwa wa wizi na video hiyo kupeperushwa moja kwa moja na wanaharakai
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Oct
Raia wa Brazil kumchagua rais mpya
10 years ago
Mtanzania11 May
Chris Brown agombea mtoto na raia wa Brazil
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Chris Brown, ameonekana kuendelea kumgombea mtoto anayedaiwa kuwa na mgogoro wa baba sahihi kati yake na raia wa Brazil, King Ba.
Baada ya hali hiyo, Chris Brown ameonekana akifanya juhudi za kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto huyo ili atambulike kuwa ndiye baba mzazi na juhudi hizo zinafanywa na mwanasheria wake.
Juhudi hizo alizianza baada ya kusherehekea miaka 26 ya kuzaliwa kwake akiwa na mastaa mbalimbali akiwemo bondia,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEuk5ZpjIoVID1nOBdbhR3N7SaDNeyE3QQ9gMEZ0smGtZSVI-9j2EDKT6fo5WL-8QWeagTbb*lsqbWIGwTdWN9nck/jgg.jpg?width=650)
MADAI JINI KABULA AREKODIWA
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Je polisi na raia wapatana TZ?
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Polisi wadaiwa kuua raia
ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Polisi wapambana na raia Sirari
POLISI mkoa wa Kipolisi Tarime na Rorya, wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamaji katika katika mji mdogo wa Sirari kupinga mauaji ya kijana Tandeka Ryoba Mserega. Mserega anadaiwa kuuawa...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Polisi, raia watwangana baada ya kufumaniana
WAKAZI wawili wilayani hapa, wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga baada ya kujeruhiwa katika mapigano kati yao na askari Polisi, baada ya kumshika ugoni mmoja wa...
10 years ago
GPLASKARI POLISI WASIONEE RAIA, NI HATARI!