Polisi, raia watwangana baada ya kufumaniana
WAKAZI wawili wilayani hapa, wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga baada ya kujeruhiwa katika mapigano kati yao na askari Polisi, baada ya kumshika ugoni mmoja wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Oct
Polisi, JWTZ watwangana
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na askari Polisi wameshambuliana hadharani katika Stendi ya Mabasi mjini hapa na kusababisha uvunjivu wa amani na baadhi yao kujeruhiwa. Katika vurugu hizo za juzi saa 11 jioni zilizosababisha shughuli mbalimbali kusimama ikiwemo maduka kufungwa, askari kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa hospitalini.
11 years ago
Mwananchi03 Oct
Wanajeshi, polisi watwangana risasi
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini
11 years ago
Michuzi13 Feb
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 RAIA WA NCHINI KONGO BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI .
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 WOTE RAIA NA WAKAZI WA SANGE – BUKAVU NCHINI KONGO WAKIONGOZWA NA HESABU LUHIGITA (16) BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI. WATUHUMIWA HAO WALIKAMATWA MNAMO TAREHE 12.02.2014 MAJIRA YA SAA 13:00HRS MCHANA HUKO KATIKA KIJIJI CHA IKUMBILO WILAYA YA ILEJE WAKIWA WANASAFIRISHWA KWENYE GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI T.136 AQC AINA YA FUSO LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA MUSSA DISI (35) NA MATEO KADUMA (30) WOTE WAKAZI WA ISONGOLE AMBAO PIA...
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Je polisi na raia wapatana TZ?
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Polisi wadaiwa kuua raia
ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Polisi wapambana na raia Sirari
POLISI mkoa wa Kipolisi Tarime na Rorya, wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamaji katika katika mji mdogo wa Sirari kupinga mauaji ya kijana Tandeka Ryoba Mserega. Mserega anadaiwa kuuawa...
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Polisi arekodiwa akiwadhulumu raia Brazil
10 years ago
GPLASKARI POLISI WASIONEE RAIA, NI HATARI!