Polisi, JWTZ watwangana
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na askari Polisi wameshambuliana hadharani katika Stendi ya Mabasi mjini hapa na kusababisha uvunjivu wa amani na baadhi yao kujeruhiwa. Katika vurugu hizo za juzi saa 11 jioni zilizosababisha shughuli mbalimbali kusimama ikiwemo maduka kufungwa, askari kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa hospitalini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Oct
Wanajeshi, polisi watwangana risasi
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Polisi, raia watwangana baada ya kufumaniana
WAKAZI wawili wilayani hapa, wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga baada ya kujeruhiwa katika mapigano kati yao na askari Polisi, baada ya kumshika ugoni mmoja wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Maofisa wa JWTZ, Polisi wafa ajalini
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo
OFISA WA Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Meja Edward Mosi na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Johnson Zakaria, wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea kijiji cha Chamakweza mkoani Pwani.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alisema jana kuwa ajali hiyo ilitokea saa 7.15, mchana.
Alisema ajali hiyo ilihusisha gari lenye namba za usajili T. 164 AUS na T. 498 AZ aina ya Scania.
Matei alisema gari hilo lilikuwa likiendeshwa na Hassan Shabani mkazi wa...
10 years ago
Habarileo19 Feb
Jeshi la Polisi, JWTZ wapongezwa kazi nzuri
BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga wamepongeza hatua ya awali iliyofikiwa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na JWTZ kwenye operesheni maalumu ya kusaka wahalifu pamoja na silaha waliokuwa wamejifisha katika mapango ya Majimoto yaliyopo eneo la Mzizima Amboni, nje kidogo ya mji.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Maofisa wa JWTZ, Polisi wafa kwa ajali
10 years ago
StarTV03 Nov
Polisi Kigoma yamtia mbaroni James Charles  kwa kujifanya JWTZ
Polisi mkoani wa Kigoma wamefanikiwa kumkamata mtu mmoja mkazi kwa kijiji cha Mwamila wilaya ya Uvinza James Charles kwa tuhuma za kujifanya kuwa ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzaniua JWT, akitumia fursa hiyo kujipatia fedha kinyume cha sheria
James Charles aliyekamatwa kufuatia taarifa zilizotolewa na raia wema kwa jeshi hilo anatuhumiwa kufanya kazi za afisa uhamiaji jambo ambalo pia ni kosa kisheria .
Akizungumza na waandishi wa habari ofini kwake kamanda wa polisi mkoa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wanachama Simba watwangana
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Waumini watwangana makonde msikitini
WAUMINI wa Kiislamu wanaoswali katika Msikiti wa Mji wa Zamani uliopo Mtaa wa Mji Mwema, wilayani Mpanda, wamepigana makonde ndani ya msikiti katika suala la kuamua nani awe imamu wa...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Wagombea ubunge watwangana ngumi
KAMPENI za wagombea ubunge 12 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaojinadi kwa wanachama kabla ya upigaji wa kura ya maoni katika Jimbo la Arusha Mjini, juzi ziliingia dosari baada ya wagombea wawili kutwangana makonde wakati wa kikao cha majumuisho.
Tukio hilo la kufedhehesha lilitokea ndani ya ofisi za CCM Wilaya ya Arusha saa 11:30 jioni wakati wagombea hao walipokaa na viongozi wa chama wilaya.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zilizolifikia Raia Tanzania na kuthibitishwa na...